Harmonize - Wapo (Official Video)

preview_player
Показать описание
#Harmonize
#Wapo
#Kondegang
#HAS_BILLION
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hii ndio ngoma Sasa unaimba nyimbo yenye Maana kama hivi hongera Sana sana Bonde Boy

hajingangila
Автор

Rajab keep it up, ukisaidia wasojiweza na m/MUNGU atakuzidishia.tunakuomba kitu kimoja muziki uchukulie nikazi isiwe nyumba ya kumuasi mungu...ulisoma madrassa dini iweke mbele.usiwe kaa mwafulani masifa mpaka family wameichafua🇰🇪001

maimunaabdalla
Автор

toa vyupa hivo watu watembeee na bandej....
🙌🙌🙌 Konde gang maisha ➕

micceymicco
Автор

Kama unaona huyu jmaaa ni shida hataki utani gonga likely hap

raymondleahrey
Автор

Am greatful n happy to hear UA song diamond, ,,,wapo kwli chatu kwa maisha wapo wapo, !wapo 100%fro kenya

doctorkenngeno
Автор

Mungu atakusaidiya kaka Harmonize, acana nabo. nabo bado habajafika fasi. uko jeshi tu na nyimbo zako zina mafundisho mengi. WCB Bado banakwitaji ila banashindwa sema.kaka Harmonize usikilize Wimbo wa dada umoya wa kenya itakufariji sana(kazi ya Mungu hayina makosa).bakwace brother

noellakongolo
Автор

Harmoh nakukubali Bro, Nyimbo zako tamu sana, na naweza sema Afrika nzima Nyimbo zako zafundisha hali ya maisha.from Kenya Bro

giloogilo
Автор

hongera kaka jitahid zako nazipenda..safii sana

vdhjhdhdhhhd
Автор

Asante Rajabu
Ya dunia ni mengi
Kaza butiii
Na maofisini wapoo
God is greater

aishakombo
Автор

Hio ni Trela sasa Bado Hit after Hit
Back 2 back KondeGang worldwide

poizonboy
Автор

Wimbo ni wa harmonise ameachia leo jameni, wimbo ukona masaa 6, hivi mbona mfix wimbo wake harmonise na vida ya diamond hili watu waone ni diamond kaimba washenzi nyinyi mnaotaka kumkatisha tamaa

Sandra
Автор

Ngoma yenye ujumbe mzuri keep it up man endelea kutuelimisha kwa ngoma kama hizi big up nice song nimeikubal one of the best 2020

maximillianrobert
Автор

Dah nyimbo imeniguza Sana hongera Hamonaize

jokhamohammed
Автор

Tupo nyuma yako kwa kila Jambo waache wanaojiona wamefika kumbe safali ndoimeanza na watakukoma

derickchakwambala
Автор

Ujumbe mzuri kwa Wasafi konde boy upo vizuri....

mbukumagiubukumagu
Автор

Pamoja sana, konde, tuko nawe kukuombea mema kwa mungu akupe uvumilivu ktk nyakati hizi!

tecnoy
Автор

Nakushemu sana Toto harmonize...yani ujumbe kaka! Mungu tu ndo anajua yani'

munjarodavies
Автор

Tembo umeuwaa jmn like zenu kwajili ya konde boy, 🐘🐘🐘🐘🐘🙏🙏🥰

dorcaskidoti
Автор

Love my brother achana nao mungu yupo malipo dunia nakupenda Sana zanzibar tunakuelewa

sikuzanjuma
Автор

Wapo wasotaka ufanikiwe broo, hamor wewe

mozumohd
welcome to shbcf.ru