Nyumba Ya Milele - 20 Percent ft EBL Ebl DRuCuLa (Official Video)

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Naomba uunganishe na silisi za maigizo kupitia nyimbo zako Mimi naona kabisa unachoimba nakile unacho andika unamaanisha ni stor ya kueleweka ukiweka mfumo wa seanson itapendeza Zaid na mashabiki tutaongezeka zaidi

fanikiojacob
Автор

20twent percent ukweli nyimbo zako zina ujumbe mzito mno mbaka machozi yananitoka mungu awe na wewe❤❤❤❤❤❤❤❤

stevenkinenulonziku
Автор

Daaa machozi aisee Niko Zambia mimi najiskia kuja tz yetu 20%paaa waonyesha turiipamoo mwandii

barakaleomom
Автор

Shujaa Hafii hua anatulia Kwa mda wapeleee music

barakaleomom
Автор

Kaka muziki unaju sana, sema matokeo wanapanga wao, Yote tumwachie MUNGU. Achia nyengine.

immanuelpetermwelango
Автор

Daaah, 😪😭 kama una amini huyu jamaa bado yupo vizuri kwenye game basi dondosha like yako hapa twende sawa.🔥🔥

shafiimpili
Автор

Jaman like kwa Percent hakika kaka anaweza gonga like kama umeyakubal aya mashail

amanisalim
Автор

Kama unajua kwamba kaburi ndio nyumba yetu ya milele bula hodi hata kodi dondosha likes zako

excellentizacalvajal
Автор

🔥🔥💖 bonge la wimbo napendaga sana kusikiliza huu wimbo jaman

JeniferJohn-xl
Автор

Nikisikia kifo hata kulala siwezi 😭😭😭 nyumba ya milele hakuna kodi, like Kwa 20%

toweman
Автор

Naupenda Sana muziki wako wa bila matusi wapi like zake

hamadikamdela
Автор

Broo kama broo abass hamis naelewa sana kazi zako

ShamteMtoteke
Автор

Wengine wananipenda, baadhi wananiponda
Wengine wananisifia, wengine wananipondea
Sitoweza kuwatenga, sitoweza kuwatenga
Hata kama wakiponda daima nitawapenda Wanaona nawabana, wao kuwa nayafanya
Hali hii itakuwaje mi nitapoiaga dunia

Wengi watalia, wengine watafurahia
Siku itakapofikia mi utappoiaga dunia
Wengi watalia, wengine watafurahia
Siku itakapofikia mi nitapoiaga dunia

Kwani kufa kufaana
Na wengine kifo waaniombea
Kwani kufa kufaana
Na wengine kifo wanakuombea

Nikifikiria kifo, kulala siwezi Sihitaji mpenzi na sifanyi ushenzi
Nahitaji nikae tu, nimuombee Mwenyezi
Siku ya kifo changu anipende mama kafi

Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
Ile ndio nyumba ya milele
Haina hodi hodi, haina kodi kodi

Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
Ile ndio nyumba ya milele
Haina hodi hodi, haina kodi kodi

Maisha ni kutoka kisha kucheka
Yaani ukishafika juu ni kudondoka
Umepita kwenye raha shida ni balaa
Pumzi umeshakata ndo unapanda motokaa

Mpende mama mtenge baba ndicho umejenga
The way utacholipwa ndicho umetenda
Tuko up tuko down muda unakwenda
Tupo njia ya Kanumba na Papa Wemba Dada mama, baba unanitenga
Zikifika nitaondoka bila kupenda
Unapojenga ukipenda funga renta
Nitazima ka mshumaa kisha nakwenda

Naona kunadondoka pigwa panga
Chini hakuna godoro kuna michanga
Mida ya kula modoo kufunga kanga
Sasa legeza kidogo funga kamba
Sitaki tena midoo nataka mwanga
Upepo sina maji sina nipe sanda

Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
Ile ndio nyumba ya milele
Haina hodi hodi, haina kodi kodi

Ukimaliza kuteseka unakwenda kule
Ile ndio nyumba ya milele haina hodi hodi, haina kodi kodi

tuyizereghadi
Автор

Hizi ndio nyimbo sasa achana Na kelele za siku hizi 20%asilimia chache sana lakin ina vitu vyingi ndan yake 🙏🙏🙏🔥🔥🔥

johnsaid
Автор

Wewe ni mtu wa muhimu sana kwangu na wengine maana mimi najifunza kupitia nyimbo zako mungu akupe miaka mingi na heri duniani 20%

cosmastitus
Автор

Twenty percent Ni mutu mwingine sana kwa nyimbo zisizo na matusi na zenye kuleta ujumbe muhimu, , like nyingi kwake twende sawa.

dadichipangula
Автор

Yaani mwamba huyu dah namkubali sana Mungu akujalie ndugu yangu yaani nyimbo zako zinaamasisha

ramadhankijana
Автор

Kama umemwelewa huyu nguli wa muziki shusha like zako hapaa 🔥🔥🔥🎶🎶🎶🎶🎵🎻

dogosugu
Автор

We ndo mflme wa muziki tz👑👑20 paa % asilimia chache sana🙏🙏🇹🇿❤️❤️

yamaletax
Автор

20% Mungu akubariki sana mimi hata usipoimba tena nyimbo zako zile zile nitazisikiliza milele mpaka kufa kwangu mimi furaha yangu kubwa ni hivyo tu ninavyokuona ukiwa mzima wa afya ya mwili na akili

vascobenedict
welcome to shbcf.ru