THE LIES 7

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nimemuangalia mwasii kwaa ukaribuu ni bonge la mwanamke ni mzurii mno huyuu dada jmn ❤ look mmwaaa😘😘

ZuhuraSwai-kk
Автор

Haya mavazi kapendeza sana hizi nguo ndo anatakiwa avae mganga sasa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

ScholaMalale
Автор

Mwasi ww achana na mume wa mwenyewe bana😅😅😅❤❤🎉🎉

NzembiNyamai-ul
Автор

Kakoso naomba niseme hukuuu snake boy mnazingua jaman😢

angelraphael
Автор

😂😂😂😂😂😂😂😂Kakoso atashinda ndan tu 😂mtoto kautaka 😂😂😂😂

cristaezekiel
Автор

Asantee Sana Director Kakosa

Mambo yanazidi kua mazuri na tunazid kufrahia

Ahsante 😂😂😂

zamirhassan
Автор

Team kakoso naona kila mtu anaomba like aya na mm mni like❤❤❤❤❤good job🎉🎉

MaryamMubarak-lwkw
Автор

Zamani kulikua na kaole group, ,,Sasa Kuna clam group yaan mnafanya poaa saaana uhalisia wa hali ya juu❤❤

angelraphael
Автор

Niko hapa naomba mtambue uwepo wangu tafadhali.

salumualoyce
Автор

Kama watazamaji mnavyoona
Pameanza kuchangamka
Na cc hatuchoki kufuatilia🙌

nickojamsen
Автор

Mwasi

Hongera sana. Naona Kazi Yako mzr sana 😂😂😂😂

zamirhassan
Автор

Culi down shem darling 😂😂 kipara hatukuwezi😅

irinemmasy
Автор

Kipara una chu chu chu ww! Ati kakoso anaelekea kua mwari😂😂😂, aaaaweeeeh 😅😊

aishaomar
Автор

Kaka una nyota gani wakataliwa adi na waganga❤❤❤❤😂😂😂😂😂

Derick-wiwv
Автор

😂😂😂😂😂Kwakweli sikuhz napenda bongo movie kwajl ya team ya clam vevo ❤❤❤❤skuhz naangalia movie

cristaezekiel
Автор

😂😂😂😂😂yan yule msukule na huyu mbona mwasi kz unayo😅😅😅😅😅

marymele
Автор

why 😅😅😂kipara bwana kazi njema sana hii kakosoo

rajabukidendasaid
Автор

😅😅😅😅😅😅kipara why w x y yani leo nimecheka sana

MelisaDar
Автор

Kakoso nakupongeza kwa kuufanyia kazi ushauri wangu wa kubadilisha background color na sasa iko poa tunaenjoy burudani.

Congratulations.

salumualoyce
Автор

Kakoso wewe ni wetu Kenya tunakutambua sana
Wapi snacks boy

captainkastua