MACHOZI NI KIMIMINIKA CHA GHARAMA SANA

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Baba ubarikiwe Kwa maneno yako ya hekima tunyanyaswa sana maofisini

RuthKivuyo-qp
Автор

Mungu akubariki sana mtumishi Kwa Kaz unayoifanyaa

DullaJosephu
Автор

Mungu akubariki mtumishi, najifunza mengi kwako Mungu aendelee kukutunza.

SaphoraFrank
Автор

Mungu mumba mbingu na nchi akuinue kama takavyo uwe baba

AbbyJohn-dv
Автор

Dah kweli kabisa mtumishi barikiwa sana kwa kutukumbusha

HellenSulle-mt
Автор

Hivi matajiri wanalijua hilo? Maana matajiri wengi wanaelea juu ya machozi ya watu Kwa dhuruma zao, Ndio maana kumbe Yesu aliongea maneno magumu kuhusu matajiri.

raymondkulikiza
Автор

Bwana yesu asifiwe mtumishi usiku wa kuamkia leo nimeota nipo madhabauni kwako ni msikilizaji mzuri ya mahubiri yako

JaneMaiga
Автор

Mungu akubariki mtumishi wa mungu nisimwage machozi ya mtu

TinaMbise-mt
join shbcf.ru