FUMBO KUBWA KWENYE MAISHA - JOEL NANAUKA

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Napitia changamoto kama izoo sana nataman siku moja niuzulie sema zako jamaan

tinanicholasligwile
Автор

Unanipa ujasiri sana wa kukabiliana na magumu yaliyoko mbelen yangu 💪

MarleyMUSSA-hl
Автор

Asante Joel wewe ndiye rafiki yangu wa ukweli!!MUNGU akubariki,

happynescostat
Автор

Nikwel pia kwangu mm ilinifanya niwe na ujasili na kujiamin zaid kuwa naweza kusimama mwenywe bila mtuu.🙋

johnmagubo
Автор

Kaka nakuelewa sana mnooo ujue video zako kila siku zinanigusa 100% na zinanisaidia mnoo. Kuna binti yangu grade six kila wakati huniuliza Leo Nanauka kasemaje mama?? Umekuwa msaada sana kwa wengi Mungu azidi kukupandisha kila siku kaka. Asante

lucianambalamwezi
Автор

Dah, umeongea kitu ambacho ni deeply sana. Mwaka 2013 niwahi kuwa na rafiki ambaye tulishibana sana, lakin hakuwa RAFIKI WA kweli alichokuwa anafanya ni kunitumia Mimi ili afanikishe mambo yake of cause alikuwa MKUBWA kwangu kiumri alitake advantage, ilifika wakati nikahisi napotelea kwenye Tabia za kupenda wanawake, nashukuru nilishauriwa na Kaka yangu akaniambia hiki unachokifanya utakuja kupotea na ukizingatia kwasasa ndokwanza umeanza KAZI na umeanza maisha jichunge sana, nashukuru nilisikiliza sauti yake na baadae nilimuepuka, alijitahidi kunitafuta kwa simu lakini sikutaka mazoea nae kiukwel nilifanikiwa, sio huyo Tu NI wengi walinitenda na mpaka sasa sitamani RAFIKI

limbungezedone
Автор

Aisee kweli kabisa hiyo nimekutana nayo sana mpaka nililaumu sana ila wao wakiwa na shida wananitafuta sana.

AndreaMwanakatwe-hcdn
Автор

Kaka umenipa hamasa sana Mungu akubariki

ruthuthomas
Автор

Asante Kaka Joel🙏🙏
Wanifunza mengi Sana💯💯

rollahngimbwa
Автор

Aiseee niliwachukia kumbe kilikuwa na faida kwangu duh!

masilastahona
Автор

Nina mtoto wangu Yuko fm6 amewashaulu wanafunzi wenzake wa like wa shule ya KAJUMULO GIRLS secondary, kuusu wewe na jinsi ninavyofaidika na ushauli wako wamewambia wazaz wao wamekuwa washilika wako, Mungu akubariki milele,

happynescostat
Автор

Ahsante brother Joel nanauka wewe ni life coach kweli kweli

hassanbenon
Автор

Yaaan hii hali ya kuonekana unacho wallah inatuumiza wengi sana mm ni muhanga wa hii hali😢 brother @Joel Nanauka Ahsante sana Leo nimelitambua hili kwann napitia ubarikiwe sana

mwanaimaabdallah
Автор

Hilo limenitokea Leo kutokana na muonekano wangu nimevaa vizuri na KULE KUWA mda WOTE unatavasam HALI yakuwa moyon nakidonda nimekosa musaada 😢😢

abdullyghadilzungu
Автор

Asante sana kaka wewe ni mwalimu wangu wa maisha kwa kweli hata mimi nilipitia wakati mgumu sana katika maisha yangu marafiki wengi niliowaamini waliniacha na hapo ndipo niligundua marafiki wa kweli na ambao walikuwa wanatake advantage kwangu ila namshukuru Allah kwa sasa nimeshapita wakati mgumu nanimechagua kubakia na marafiki wa kweli tuu, , , ubarikiwe sana kaka

ramadhanalmashamza
Автор

Daaah umekuwa rafiki mwema sana kwangu, sabb kila inacho zungumza kina uhalisia na maisha yangu, asante kwa kunipa mwanga brother

hibbamashaka
Автор

Duh, , hatari sana, , Leo ndio nimeelewa maana Mimi nikiwaga na changamoto nikamuambia mtu, , anaishia kunisikiliza tu, , basi hafanyi chochote na nikiona hivi kama ni rafiki basi namtua, , nishawatema marafiki wengi sana sababu hii

farajamsepele
Автор

Hongera sana kwa ujumbe mzuri sijutii MB zangu hiki nichuo kikubwana Nina pata Madini mapya Kila siku naomba nipate vitabu vyako Huku Rukwa wakala wako Yuko wapi?

abrahammwambije
Автор

nikweli kabisa kaka hata mm yamenikuta nanilipopita kwenye changomoto ngumu nilikimbiwa na marafiki hakuna ambae aliweza kua karibu na mimi hii ilinisaidia kuchambua wapi ni marafiki bora kwangu na wapi sio sahihi kwangu
Hasante sana kaka joel i got u.😊

Yonzomc
Автор

Nilipoombwa kuchangia Arusi na rafiki yangu niliposema sina pesa niliambiwa hataki tu kuchangia lkn pesa anazo wakati kiuhalisia kipindi hicho sikuwa nazo za mchango, na urafiki ukaisha kuwa sijamjali.

sikituukololo
welcome to shbcf.ru