MSAFARA WA MABASI YA SUPER FEO & SELOU TOUR KUTOKA DAR KUELEKEA SONGEA.

preview_player
Показать описание
Msafara wa mabasi ya kampuni ya Super Feo Express kutoka Dar kuelekea Songea yapo mabasi 10 aina ya YUTONG F12 plus
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Feo ni kampuni kubwa mjini Songea ila tabia ya kutoza nauli kubwa ya vimizigo vidogo vidogo ukiwa una safiri hamtufanyii poa abiria wenu wakati kampuni nyingine hazina njaa za hivyo.

josephgama
Автор

Neema kwa wana vizuri kampun ya Super-feo & selous kwa kuongeza ubora katika usafiri

nasrimchopa
Автор

Mabasi yaendayo kwetu....super feo juu

bestmilltz
Автор

Aysee kuna mijitu hainaga Akili...sikiliza hilo libaba eti wee huoni basi Mpya kabisa hzo hlf wauliza kuna kitu gani?? Hee!! Sasa zikiwa Mpya ndio mjazane?

nurdinchelsea
Автор

Pelekeni mikoa mbalimbali sio songea tu

saidsaid
Автор

je hamuoni kuwa na MWANZA wanahitaji mabasi yenu

emmanuelwankururyoba
Автор

Mbwembwe nyiiingi mwisho wa cku kampuni imepotea.

mikidadiferuzi