MICHEZO Magazetini Jumapili 22/7/2018:Simba Uturuki, Yanga yazidi Kumeguka

preview_player
Показать описание
Magazeti ya michezo leo Jumapili tarehe 22/7/2018 yametawaliwa na habari kubwa mbalimbali ikiwemo ya Simba kupaa kwenda Instabul Uturuki kwa kambi na upande wa Yanga mambo bado kwani kamati ya utendaji imezidi kumeguka baada ya mjumbe mwingine kujiuzulu pia timu ikiendelea na mgomo. Timu imeendeleza mgomo wakati kelvin yondani kesho akirejea mazoezini.
Рекомендации по теме