MICHEZO Magazetini Jumanne21/8/2018:Hertier Makambo Amtisha Kagere

preview_player
Показать описание
Magazeti ya michezo leo Jumanne tarehe 21/8/2018 yametawaliwa na habari Kubwa ya Heritier Makambo kumtisha mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere na Yanga kusema wapo fiti kuanza ligi na moto waliowaulia Waarabu.

#MagazetiYaMichezo21/8/2018,#MakambovsKagere,
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

minapita tu sipendi unafki ingekuwa stoli za simba wangekuwa kimyaaa sasa tuache vitendo ndoviongee

likulungwahassan
Автор

Sasa watauza VP magazeti yao bila kuandika habar za mbeleko fc

elizabethjohn
Автор

uliwaona wap mashabiki wa simba wakimjadili makambo?

amedeusmunishi
Автор

Achen unazi kwa lazima usomewe we soma vichwa vya habari majungu siyo mtaji dogo piga kazi upate uzoefu

jolitejolite
Автор

Dogo kama hujui bidhaa yeyote lzm upambe sasa wasipopamba kupitia kwa mbereko fc watapambia wapi acheni hizo team zote zinawachezaji imara na wasiojulikana pia tambua sifa nyingine zinapoteza wachezaji ajb yupo wapi, tambwe yupo wapi mo ibrahimu yupo wapi kama siyo kulewa sifa za magazeti ?

elizabethjohn
Автор

du magazet yote n makambo, makambo, ,,kweli huyu jamaaa anajua sio siri

daniellukindo