Zuchu - Tanzania Ya Sasa (Official Audio)

preview_player
Показать описание
Wimbo Maalum Wa Kukipongeza Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Unaweza Kuupata Kwa Kugusa 👇🏼

Get IamZuchu EP Now 👇🏼

Audio Produced By Lizer Classic

For Bookings:

Connect With Zuchu On:

#Zuchu #Tanzania #CCM
Copyright ©2020 WCB Wasafi. All rights reserved.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

nyimbo bora ya muda wote. Asante The Late MAGUFULI

gabrielsixtus
Автор

Huu wimbo utanikumbusha daima kuhusu Magufuli wetu.

atuganilemwakalile
Автор

Wa kwanza comments zenu from Kenya me wcb fan 50 likes only

faustinanyamuhanga
Автор

Niko hapa baada ya kifo cha raisi wetu magufuli 😭😭😭

_vernox._
Автор

Napendekeza wimbo huu upitishwe na kamati kuu kama wimbo wa kampeni. Unafurahisha kwa lika zote. Hongera sana Zuchu.

sempaprudence
Автор

Wapi likes za wakenya kwa kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa Watanazania

azizamohamed
Автор

Ambao sio wanasiasa kama mimi lakin mmeielewa ngoma press 👍

latiphibrahim
Автор

hatimae imewekwa, leo nipo top ten, kwenye comments like zenu please

frankoctavian
Автор

Nimekumbuka huu wimbo nikawa nausikiliza pumzka kwa amani baba eti hakika tunakukumbuka sana

ElizabethCharles-txlb
Автор

2024 still🔥🔥🔥 we Remember you Anco Magu😢😢😢😢😢

ZahraAlly-wqku
Автор

Anaemkubali Zuchu kua ni mwamba like twende Sawa👍

raajsheria
Автор

wapi like za huyu binti mzuri kutoka kwa mama wetu wa mipasho hadija kopa👌

safiyatheonlything
Автор

Haya wa CCM wote like mambo Yamesha anza kuwa moto 🔥🔥🔥

Xrissy
Автор

I love you Tanzania from Gambia 🇬🇲 ..Nakupenda Tanzania

ousmanjallow
Автор

Ninachoshukuru kwa kweli huyu Baba yetu tulimshuru sana wakati anatuona na anapumua. Daddy go... Tunakupenda sana na Asante sana. Rest in Peace Hero

dr.sarahbusongo
Автор

unaweza kuwa mpinzani ila ukisikiliza huu wimbo unaanza kujirudiarudia kichwani, mwanzoni unauchukia kwa sababu ya itikadi zako za kisiasa ila kimoyomoyo unaanza kuupenda taratibu.

baltzrluus
Автор

Yaani hii rege imenikumbusha movie ya sarafina

aminajuma
Автор

Aky magufuli alikua kiboko y Africa twakukumbka bdo BABA Insha'AllAH Mungu aike roho yko mahali penye wema peponi

rajah
Автор

Zuchu kipenzi changu nimechelewa jana nilikuwa sina bando siku zote hua huniangushi nakupenda sana mungu akuongozee

abdulnyerere
Автор

Nyimbo hii italeta wabunge wote wa ccm bungeni baada ya uchaguzi mkuu mark this word.Zuchu umevuruga upande wa pili sasa Mh Makonda ipeleke clouds pia ipigwe hii nyimbo ni 🔥🔥🔥

frankvenus
welcome to shbcf.ru