KESHO YANGU PART 26 💞 Love Story

preview_player
Показать описание
#keshoyangu #episode26
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Vipi jamani nauliza tumalize hii series au tuendelee??

Dontatv
Автор

Kelvin Mungu akuweke sanaaaa.. Hiyo roho uliyonayo ni ya malaika wa mbinguni😘😘😘😘💪

GraceKwayu-yozf
Автор

Wow ulikua unategea kesho yangu ukiwa wapi jmn love from team strong 🇰🇪🇸🇦😂🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰team Kelvin mko wapi

judithpendo
Автор

Hongera saana kelvin napenda saana maumuzi ya mzee mwanzo mauwa yake hayo🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🌹🌹 yaani wazee wote wangekuwa na roho km yake basi nafikiri dunia yote ingeishi naamani saana ❤❤ nyuki na yee upande wake anamshauri mema saana mubarikiwe nyote 🙏🙏🙏❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

hghh
Автор

Shida matatizo utufunza uvumilivu....umeshapata kilicho kuleta am happy 4 u keviii🥰🥰

JaneBinyanya
Автор

Waoooo nice penda sana kelvn❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

SavelnaKagumisa
Автор

Kevi kashajipata tayari 😂😂😂 shida matatizo hutufunza uvumilivu maisha hayana likizo kila siku ni maumivu...ndo atutaisikia tena 😢😢sijapenda😢

DenisChuwa-pi
Автор

Katokea Kenya, nikupongeze Sana Kaka Kelvin, I can see the great kanumba Steven in you, that mantle is resting upon you.may God bless you and Make you even more creative

poplegends
Автор

Hawa jamaa wanajua sana me nimewakubalii kinomaaa❤

AshaaSalimini-drgv
Автор

Dah funzo kbw sn linapatikana kwny maisha ya Kelvin, fantastic

othmanhamad
Автор

Much love from Kenya familia ya donta tv KAZI mzuri

JanetMueni-fm
Автор

sema mko pw san ila matangazo weken mwanzon au mwishon

SaimoniKalindima
Автор

Nasrah usingemuua kaka daah ila anyways sijajua lengo la hii kitu let's keep on supporting him

Abouh.Ali
Автор

Huyu jamaaa noma sana anajuwa kubuni sana na Huwa anaendana maisha wanayoishi wanadam🎉🎉

IbuniKilapaya
Автор

Nmefurahi kusikia kelvine sasa n tajili kubwa ❤😅😅😅❤🇰🇪

Ronah-zi
Автор

na natamani, mzimu wa Nasra uanze kumsumbua hawa wabaya wake

AdolfNdihenze
Автор

Naeza Sema, kelivn keshoyako nadhani imefka, hongera sana mzee wangu

RammyanLewah
Автор

Mashallah kesho ya kelvin ishafika mana alichokitafuta ashakipata kwa mzee wetu.

rukiahassan
Автор

Mi wa kwanza hapa nipeni like zangu hata miya moja jamani

KambaleMagherya-hstd
Автор

Iyi filamu naipenda saana Ila munachelea saana kutoa Tena mukitowa ni kamoja tu 😮😮😮 na miss Kevin

cizamihona