kikongwe season 2 episode 3

preview_player
Показать описание
Kikogwe amempata mwanae kitawi ndege, Doko amekubali kubeba maiti usikose kipindi hiki Cha kikongwe season 2 episode 3 balaa nizito. #comedyseries #movie #nollywood #nollywood
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

HABALI NDUGU ZANGU NAZANI KWA UKUBWA WAKAZI NA ULEFU NADHANI MTABURUDIKA SO, IKIFIKA COMENT 500 ONE DAY NA VIEWS 50k NAACHIA EPISODE YA 4 I PROMISE 🙏 🔥🎉❤ TUNAWAPENDA 🥰

DOKO
Автор

Safi sana doko ila Sasa isichokijuwa napenda sana kazi yako naitwa Grande PiQui kutoka Moçambique wilaia ya nangade

GrandePiquiGrande
Автор

😂😂😂😂huyu kitawi ndege, Manshalla kila kona 😂😂😂😂, mbwa ww mfinange kitulize hatudet na mashemeji zetu😂😂😂

ywydhhd
Автор

uko vizuri sana bwana doko sinema zako haziboeshi wewe na crew yako nzima

JumaYusuf-xk
Автор

Jokeli jishikilie basi😅😅ila doko 🏃 🏃 🏃 🏃

AllyBabu-krlg
Автор

Yaani kitawi ndenge 🤣, anacheza vizuri, kazi nzuri sana Mwenye Kipala

Levisshima
Автор

Kitawi ndege wanifurahisha na nyonyo zako😂😂😂😂😂Maua yako 🌷🌷🌷

RachelNgalya
Автор

Hiyo minyonyo ya kitawi ndege pambe sana😂😂😂

RauAyub
Автор

Wapili Mimi kutoka Burundi maua yang kbxaaa. Kazim njem doko

NdayiragijeBelacca
Автор

Ila uyu dada jamani eti ziwa saa sita mm na naona saa kumi na mbili😂😂😂

JoyDavid
Автор

Sonia uko na karangi kachokoleti ukijichubua utajialibu karibu mwanza mtoto mzuri

josephsananga
Автор

Movie nzuri sana😢❤kazi safi team doko😊

mohamedwako
Автор

Daah huyo Jokeri mzee wa chafu tatu nimemuelewa kinyama yaani, kila nikimuona nacheka sana

psychologist
Автор

Sania na Mfinanga waoane kiukweli ukweli ❤❤❤

makaroyakisasa
Автор

Kitawi ndege me nataka namba Yako 😄 nimekupenda atari

EricaRoman-nn
Автор

Ila. Joker. Amechangamka. Mpaka. Raha. 😂😂😂😂😂😂😂😂

mamaaanmar
Автор

Mimi ni shabiki wa kwanza wa mfinanga and doko na sonia

Tundawikaako
Автор

Masha love njoo umchukue mdogo wako huku😂😂😂😂 ila kitawi ndege unajua san

AishaMohamedhaidari
Автор

Doko hii movie nzur sana yan umetisha sana wew na joker

Shat
Автор

Kaz nzuri sana nawakubali nasubiri Kwa ham nione kama ule mwili utatobowa kuchomoka mao na kumbuka police wana kutafuta hatari

abbykashuba
welcome to shbcf.ru