MISSION IMPOSSIBLE [40]

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Unatoa episode kwa wakati hii ndio i like ❤
Tupinge mauaji na utekaji.

AmosSinkala-lxsl
Автор

Kama unakifwatilia mission impossible toka episode 1 mbka 40 nautaendele kukiangalia mbka mwisho ebu gonga like apo🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳 mm nko Kenya 🇰🇪 lkn apo kwa CHADO namkubali sana mwanangu 😊😊😊😊

TabbyAbby-ed
Автор

Bonge na cheuse mwana kulifind mwana kuliget iyo ndio yaitwa i like it ..when you come geto dont kam with polis😅😅😅😅😅😂😂😂

rizmarramadhan
Автор

Jaman Bongo kanichekesha kwel bahada ya kupga dili la ela tunapga dili la Kifo i like jaman Kwa awa wadau

SalumuHMtumbuluka-eq
Автор

Hahahahah kumbe cheusi ni kidume Cha TABORA
Tunaoiangalia tukiwa tabora tujuane😂

annaki
Автор

Bonge na cheusi wameyatimba kama mnakubaliana na mimi like kidogo

jumahamisi
Автор

Leo mimi ni wakwanza chado kikofia bonge najma ngengwe cheusi mama ngengwe na kaka yake najima na wengine wote nahitaji like zenu zote

KidumeRashid
Автор

Watching from Mombasa Bamburi.... Sisi kama wana Mombasa Tunawapenda Tuonyesheni ushirikiano wenu kwa kutupea likes

PENETRATOR.
Автор

anae furahi chenga kukamatwa angusha like yako hapa

MasoudAthumani-qkoe
Автор

Kwaiyo hi ndio gali la prayvaty mwanagu cheus🎉🎉😂😂😂❤ kama una mpend bonge nip like zangu

twalhamussa
Автор

Mr chado.. vitengo wote nawahitaji kwenye next new move akiwema anifa...❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

YeriKahindi
Автор

huyo boss nimependa anakula uradi natasubihi yake MASHAALLA

MerianNyoha-bgcb
Автор

Leo wa kwanz Mimi like 50 kwa chado master mung mbariki Kila mtu atakae soma sms hii tuseme Amen 🙏

AbaidiiniNgweti
Автор

Hii movie hatari yani imeiva siomchezo hongereni sana yani sijui nlichelewq wapi mimi🎉🎉🎉❤ila cheusi na bonge pole yenu kama nawaona mkigeuzwa😅😅na mastor ama kweli umbeya mubaya🤣🤣🤣

patriciachangawa
Автор

Kama unajua chado hapingwi kivovote wote apa chado it's 🔥🔥🔥🔥

JaguarEscobar
Автор

Hongr kw kututolea muv kw wkt n kutupa burudan mzr Allah awajlie mukuze kipaji chenu🤲✍️

RaiyyanAli-slfs
Автор

Watu mnawai jamani 😅😅😅😅ila mama ngwengwe nakupenda kinoma jay once again

khawiapauline
Автор

Mungu awajalie ote humu ndani bila kumsahau chado mungu azidi kujalia afya njema bila wewe hatuozio kuona mwendelezo Asante km up pamoja namim gonga laiki

RashidOmary-cg
Автор

Wakwanz mm Leo from 🇹🇿gonga.like hap kama unamkubari chado

barakatupatu
Автор

Nimecheka Leo peke yangu Yan cheus na bonge mbona yamewakuta makubwa

mashakidegera