Aniset Butati-NENDA [ Official video ]

preview_player
Показать описание
PRODUSED BY BUTATI MUUSIC PRODUCTION 0744440245 Watsapp 255675197388
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

siwezi kumwacha Mungu Kwa Maisha mazuri na tamaa za dunia😭😭😭😭My favourite verse

RYANKARIUKIOFFICIAL
Автор

baba muibaji mungu akubariki sana kwa njina la yesu.

AndreMatmwimbu
Автор

Ndio maana huwa namwomba Mungu nisiwe na tamaa. Tamaa itafanya niibe, niingie kwenye mambo mabaya . Naomba nitosheke na nilichonacho. Kwa Wakati wake atatenda. Kama si leo ni kesho. Amina

titusomondi
Автор

Siwesi kumwacha Mungu Kwa Tama ya maisha mazuri, Bora nibaki na Mungu wangu. Wimbo zuri kabisa🇸🇦🇰🇪🇰🇪

ekaiamoja
Автор

Shida gan mama maisha siri ya Mungu subiri uone yajayo Mungu saidiya ndugu kwa tatizo hilo kuachwa uku akisema awezi kuacha.

Rohosafi
Автор

Kazi nzuri sana bro big up sana na ni moja kati ya watu wanaofutilia kazi zako ila direct kazingua kwenye nyimbo ni gospel mtoto ametumia hijabu umo ndan hakuzingatia icho

malavatz
Автор

God rain you a bunch of blessings 4you are good job🙏🙏

anisethndanda
Автор

Yametukuta maishani live butati sijui uliwaza Nini hii nyimbo

raphaelmwashibanda
Автор

Congratulations 🎉 I just love your songs, ,,, may God lift you to reach pple over the world, ,,, God bless you Aniset

jackyfavourirenekimaiyo
Автор

Nenda maman wengine wapo hawapiti hinjo kidogo ulicho pewa😢❤

KabeyaJerkis
Автор

This is the really situation we are facing we as believer may God wipe away our tears in Jesus name😭😭🙏🙏🎉🎉❤❤

Saint-PaulFavour
Автор

Kaka umeyaimba maisha yangu yote yalonitokea mwenzi mmoja ulopita 😭😭😭😭😭 oooohhooo!!!! Siwezi tengana na Mungu coz namwamin atanipa alozaidi yake 💪💪💪

samsonkihombo
Автор

Siwezi kumwacha Yesu we nenda tu😭😭 🙌🙌 Congratulations 👏

beatricemwakiposa
Автор

Mungu akubark saana mtumishi.Wimbo huu unantoa machoz ya maumivu makali.Kuna wkt pia nami nlipokonywa Mali zote na kuachwa na watoto wangu wawl.Sababu kubwa nltakikana kumuacha Yesu niingie Kwa uislamu Ndio nregeshewe Mali zao.Nliamua kuachana na Mali na kubaki na Mungu.Nashkuru Mungu maisha ynaendelea.So, tusiache Yesu sababu ya Mali.Mungu ana Kila kitu.B blsd so much servant of God.Much love from Kenya.💕💕💕💕🥰🥰🥰

angelsabrina
Автор

Watu wengi wanapaswa kupata huu ujumbe, utakaowatia nguvu, na uwezo kusonga mbele. Wasimwache Mungu KWA hali yeyote ile. He is faithful

issackwillium
Автор

Ameen, mke au mme askufanye umwache mungu uyo siomke mana maandiko yanasema atakae vumilia mpaka mwisho ndie atakae iona mbingu ivo subili uone utimilifu

MathiasJoji
Автор

Mungu wetu ni mwaminifu na ujumbe Ni mzuri mno

joycelister
Автор

What an inspiration Butati??? always Serve Jesus Christ Son Of Living God.

bfalampendwa
Автор

Ayo ndo maisha nimudani namume wangu kwer naona Niko mumajimalefu .Kwa made it sababu watoto walee

cimpayeriziki
Автор

Oooh!!! God is faithfull, siwezi kumwacha Mungu kwasababu ya tamaa ya maisha💕. Ooh Mungu akubariki mtumishi umenitia moyo nitasonga mbele

dorkasiasamwel
join shbcf.ru