'Natamani niache hii kazi niishi maisha mengine' -SNURA

preview_player
Показать описание
Leo January 6,2018 kupitia mtandao wa instagram moja kati ya story ambayo imetrend na kuwashtua wengi na maswali yakawa mengi ni kuhusiana na msanii Snura baada ya kupost picha yake katika ig page yake na kaundika caption inayosema “kuna muda natamanni niache hii kazi niishi maisha mengine kabisa”
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Acha kazi hiyo dada yangu kuna kufa usije ukakuta umauti hali ya kuwa upo ktk mazingira hayo si mwenendo mzuri huo tumuogombe m/mungu Adhabu zake kali .Acha dada yangu sanaa hyo rudi kw m/mungu kwani mauti hayana taarifa omba msamaha kw m/mungu kwani m/mungu Usamehe makosa hata km ni mengi kupita maelezo

abdallasalim
Автор

Iache iyo ni laana dear kuna kufa na kuhukumiwa

zamzamhamisi
Автор

Sasa Ayo YouTube hiii ndo habari gani sasa😁

rosemarybenjamin
join shbcf.ru