HOUSE GIRL EP 41 | S4 | LOVE STORY 💞💕

preview_player
Показать описание
#bongomovie #mymother #housegirl
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Jaman mm ndo sjawah pata like ata moja naomba bas ndugu zang vipenzi vya hause GIRL

AgnessWilson-fx
Автор

Leo nimekuwa wakwanza wapendwa munipe like nawapenda sana mwenye anamupenda mama tasha asipite bila kunipa like

NsabiyumvaEvelyne
Автор

Jmn mwenzenu sijawaig kupata like ata kama mechelewa naomb ata 10 🎉🎉nawapenda

babygirl-dl
Автор

Sania mashaallah umechagua mahar nzuri sna❤lkn ww au huyo sukari robooo mwaujua kuusoma maan hio ndo raha ya mahar y msahafu, ukiwa huujui n mwenzio nae haujui bc hauna faid maana sio wa show n wakusomwa, , , we kilamba ukwaju tafuta kazi n ww keee million 4 n laki 9 wataka kuchangiwa zte hbu jitahid n ww

MwanamisiMuna
Автор

Mmeshaanza kututia uvivu wa. Kuwafuatilia mumuanza.kuwa wazembe wa kazi

BeatriceNgeleza
Автор

Twaomba mtutolee huu wimbo unaosema ( hatima, hatima, hatima ya ndoa yetu) kwani tunaupenda mno sisi washabiki zenu

AbuhamzaAli-my
Автор

😂😂😂😂😂 Kwa kweli kilamba ni actor na nusu weeee pongezi kwako kilamba

brexides
Автор

Kazi nzuri sana ila kilamba afanye Kazi aache kutegemea misaada😅😅😅

JescaMarykarisa
Автор

am a Kenyan watching from Qatar ..wap likes zangu😘❤️

victorachochi
Автор

Hichi kipande cha kilamba na some kishaaza kunichosha mimi kila siku mahali mahali

juliethrobart
Автор

Jmn mi Sina mbavu Leo sukar robo ❤ Samina umekuwa mtulivu nakupenda bure❤ wasani wote Mungu awabariki 🎉🎉 bila kumsahau dernkta 🎉

ShamimShamy
Автор

Sijawahai ku commenty ila hum jamani yani mumepowa ata hamu yakufwatilia imekwisha 😂😂😂😂

BRIGITTENISINGIZWE
Автор

Napenda sana hii move ila kwa sasa mnachelewa hadi naanza kuisahau jitahidi basi kutoa kama mwanzo Ila kazi nzr sana ❤❤❤

sayunimnguruta
Автор

Jmni huyu s Sania kautak😂hii movie mwatuperek wap surely😢 tuk zile za nenda rudi😂bora mtupumzish kl iishie tu apa imetosh haki🙌mmeharibu san sio house girl ten

ShakuurRayyan
Автор

Alhamdulillah, sania umenikumbusha...mi pia mahari yangu nlitaka mswala na masihaf

aishaomar
Автор

Million 4 uktoa elfu20 ni Million 3 laki9 na elfu80 kilamba umejitahd sana😂😂😂😂😂

Ummyrahy
Автор

Alieona upenyo chini ya mkono wa sania na kuona kamwili kake agong like

JimmynineManus
Автор

Malizeni hii nakuna cha maana tena sahv mnachofanya ni upuuzi mtupu

LaurenceSaendah
Автор

Mm sijapenda kabisaa Yaleo wameonyeswa wapumbavu wote😂😂😂😅😅

RehemaAbdallah-czuk
Автор

Kilamba unavituko sana 🔥, eti wewe na mjomba Ako mnaroho ngumu sana, hukujuwa mtoto watu anaghara kwao 😁

ElizabethDaudi-bv