MAPYA YA MREMBO GENIUS ALIEONGOZA NCHI NZIMA SAYANSI, YALIYOJIFICHA 'KUFELI SHULE SIO MAISHA'

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

"Nawaambia kuwa Kuna Maisha mengine ukiachana na masomo, Kuna biashara wafanye na wapambane na kimaisha" mwisho wa kunukuu
Nimependa sana huu ushauri Kwa walio feli...
Congratulations... Dada

jessalaisaac.a
Автор

Hongera Binti! Mungu azidi kukusimamia uendelee kumtegemea Yeye! Ila nilichojifunza wengi wanaofaulu vizuri Wana mazingira mazuri ya elimu na inachangiwa na uwezo mzuri wa kiuchumi kifedha wa wazazi au walezi wao na kujiamini kwa Mtoto

magejuliani
Автор

Congratulation catherine may god bless you

scolasticaadam
Автор

karembo kweli.hongera Binti wa kwa Mwakasege.upako uko ju yako!

gabriellyadam
Автор

Hongera binti Mungu azidi kukutangulia katika masomo yako, na ufikie malengo yako.Barikiwa 🙌

ellybrown
Автор

Daktari wa magonjwa ya moyo!! Mungu atimize ndoto zako.

ramadhanimbulu
Автор

I see my daughter in few years to come. Hongera mdogo wangu.

jacquelineketegwe
Автор

Hongera sana mwanangu mungu akufanyie wepesi kwa Kila hatua

stumaihassan
Автор

Wanyakyusa hoyeeee hongera sna nkamu gwangu mwe Malafyale Mwikemo aje naugwe amasiku gosaaa mwe nyonywile fijo ngut nine nenga nafikile uko umwee hongera sna my

tumainimwakyaka
Автор

Hongera hata wewe kukumbuka vyuo vya hapa nyumban wengne ndo kwanza awatak kuvisikia hongera bint 😘

welcometoeat
Автор

Uko mnyenyekevu jinsi unajibu maswali na unavyo ongea, Mungu akutangulie.mrembo kweli kweli, sasa wewe ndo tafsiri ya beauty with brain.

Zoe-owvf
Автор

Hongera Sana mrembo wangu, MUNGU azidi kuwa kiongozi wako.

baybeshayo
Автор

Hongera mwanangu pongezi kwa wazazi wako mungu akutangulie

aminamsimbe
Автор

Hongera sana mdogo wangu, Mungu akutangulie katika safari yako ya taaluma

queenpeter
Автор

Hongera sana bint Allah akujarie ufike mbari zaid utimize ndoto zako

zikenims
Автор

Very smart girl. Keep it up. Mungu akufanyie wepesi Kisha ndoto Yako itimie.

mohamedsalum
Автор

Kama kuna kitu nimekipenda kweny haya mahojiano basi ni matumiz ya KISWAHILI mwanzo mwisho kwa huyu mwanadada.
Hakutumia nafasi yake kama mwanafunzi wa elimu ya juu kwamba anajua sana kiingereza huku akitambua kua anaongea na watanzania wanaotumia KISWAHILI na pia kujua kwamba lugha ya KISWAHILI ni muhimu zaidi nchini.
Sambamba na hilo mahojiano haya yakawe funzo kwa watu wengine hasa wasanii maana wamekua wakitumia kiingereza kweny mahojiano wakiamini kwamba ndio ustaa wenyew au ni kama kujionesha.
Pia kwa kukusudia au kutokukusudia mwanadada ametufunza kuwa kiingereza sio sehemu kweny taaluma maana watu wengi huku nje wako na hio dhana.
NB: Tuacheni ulimbukeni wa lugha za kigeni hasa watu mashuhuri kama waigizaji na wanamuziki

fahdihasnuu
Автор

SEMA Shule nilikupenda sana hakikunipenda kitabu

Zilizopendwa_s
Автор

Hongera mdogo Wangu, Maombi yangu ufike mbali zaidi. Keep it up

ezekielkandonga
Автор

Congratulations cathy madodi anakusalimia.

rahmaabubakarisaanatu