EXCLUSIVE: LAURENT ALIYEOTESHWA NA MUNGU KUTENGENEZA BARABARA 'SIMJUI ANAYENILIPA,NIMETENGENEZA 50'

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Big rasta man peace and love bro good job✌️🇹🇿.

mahmoudaziz
Автор

Maashallah tabarakallah hiyo ibada nzuri saaan Allah akulipe kinachostaili lnshaallah

hanifatanzania
Автор

Huyu ndo anatakiwa kuwa mwenyekiti wa Kijiji, atawaongoza wananchi kwa mifano kujiletea maendeleo

daudimichael
Автор

Serikali iangalie namna ya kuMSAIDIA HUYO jamaa lakini pia Bigup kwa Millard Ayo ku expose kaz yake Mungu azidi kuwabariki

aulamongi
Автор

Watu wame comment bangi mbaya, wewe ambaye unajiona una akili kipi umekifanya chenye akili kilicho gusa jamii yako, na bora bangi ipewe kibali maana inaleta watu wenye impact kwenye jamii yao, ,

kmotivation
Автор

Kampuni ya kitanzani hiyo pamoja sana broo🇹🇿💪

nesto
Автор

Jamaa kajiajiri kupitia majukum ya serikali hongeta sana chuga

jumapiliissa
Автор

Bob marley quote: Raster involve in progress . Amani naa upendo. Irea Rasterfri.❤️💛💚

munirmukri
Автор

Allah amzidishie kheer ya kujitokea kama mzalemdo

shomitz
Автор

Si unamjua mzee makosa wa Iringa aliepanda miti... TRA watakuotea ulipie kodi kama yeye😂

FadyFs
Автор

Huyo kijana siyo wa mchezo daah Mungu ambariki

ilynpayne
Автор

Jamani mumpe support asifanye kazi peke yake Hii nchi ni nchi ya ajabu sana hamna support wala ushirikiano sasa mtu akiumwa si wote mnapita hapo jamani mbunge wenu amapokea mamilioni huko hampi hata sumni it’s very sad Umeona ni nguvu utengano ni udhaifu mumvike taji huyo kijana na mtutumie namba zake tumtumie pesa ya Soda asante kwa moyo wako wa kujitolea

TheSalma
Автор

Duuh the man Is great, ana nguvu za ajabu sana, emagine Kiuno hakimzingui Dah, Pongezi kwake Hakika heshma kwake

dmk
Автор

Siyo Mungu si unaona Rasta za BOB MALEY ZIMEMPA STIMU

obadiayusuph
Автор

Mtu makini saana mungu akulipe na akupe afyaa njema

salimumohammedsalimu
Автор

Nakupata rastar Niko maeneo yamti mawazo hapa majengo

godimangare
Автор

Hongela agekuwepo magu agekujazapesa maishayote

papaamashana
Автор

Sasa huyu ndiye wakumlipa mshahara kuliko hao walioajiriwa manispaa kazi kula mshahara wa bure Tu KAZI hawafanyi

hajiabdalla
Автор

Hawa watu wazalendo wakukumbukwe Soo wanasiasa he mbunge wa eneo Hilo haoni na mkurungezi

abelanguluchamasuke
Автор

Sio bangi nyie wachangiaji huyu jamaa amesikamia msimamo ambao ndio uliomfanya atende hiyo kazi. Kwanza kaeleza wazi, eneo lao halina barabara je kama akitokea mgonjwa huko na gari haiwezi fika itakuaje hakutaka kugombana na viongozi ameona kwa mawazo yake anaweza kuisaidia jamii yake na wanakijiji wenzake huyo ni mzarendo wa kweli kama wengine tunao wasoma ktk historia Nyerere alitembea kwa miguu kuupigania ihuru wa nchi yetu je zile nazo zilikua bangi? Hawa Sasa ni wazarendo wa zama zetu wanahitaji sapoti kama wazarendo wa zama za Nyerere walivyotoa sapoti kwa kile walichokuwa wakikitafuta hongera kijana kwa kazi nzuri ila hao viongozi wa huko kwenu hawafai kuwa viongozi

gideonstephen