SIMBA Walivyoelekea Uturuki Alfajiri Ya Leo Julai 22, USIPIME!

preview_player
Показать описание
Mabingwa wa Soka Tanzania, Simba wameondoka nchini leo kwenda Uturuki.

Simba imeondoka leo alfajiri kwa ajili ya kambi nchini Uturuki.

Kikosi hicho kitaongozwa na Kocha Patrick Aussems raia wa Ubelgiji.

Kabla ya leo, jana jioni, kundi la kwanza la Simba liliondoka kwenda Uturuki pia likiongozwa na Kocha Msaidizi, Masoud Djuma.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ama kweli vijana wa msimbaz wanasepa Mungu wasaidie wafike salama

lambolambo
Автор

chama letu chama kubwaa chama LA wapenda mpilaa wanaaaga nchii tunaitaji makombe jamanii mkawekee kambi na za ukwer

dorymligo
Автор

Nawatakieni kila rakheli ila mkirudi mniletee sambusa za ulaya

oscarmazeze