USAJILI: SIMBA Yashusha Kiungo Mzambia

preview_player
Показать описание
Mabingwa wa Ligi Kuu Bara nchini, Simba SC, wameshusha kiungo mshambuliaji mpya kutoka Dyanamos FC ya Zambia, Chama Clatous na taarifa zinaeleza tayari ameshamalizana na mabosi wa klabu hiyo.

Ujio wa Clatous Simba umetokana na pendekezo la Kocha Msaidizi, Masoud Djuma ambaye aliomba asajiliwa kiungo mwingine ili kuja kukupa nguvu kikosi cha Simba kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu.

Taarifa za ndani kutoka Simba zinasema tayari Clatous ameshamwaga winno na atakuwa sehemu ya wachezaji wataokwea pipa kesho kuelekea Uturuki kuweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.

Ujio wa Clatous Simba umetokana na pendekezo la Kocha Msaidizi, Masoud Djuma ambaye aliomba asajiliwa kiungo mwingine ili kuja kukupa nguvu kikosi cha Simba kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu.

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kama kweli basi ni vizuri, coz nyinyi waandishi mnazushaga tuuuu

elliudmichael