KAMA ULIWAHI TUMIA PODA YA BABY JOHNSON, FUNGUA VIDEO HII SASA HIVI, WANAWEZA KUIFUTA.

preview_player
Показать описание

Lipia Tsh 1000 Tu mtandao wowote isipokua t pesa,utapata nafasi ya kusoma papo hapo Kwa simu yako.

Kumbuka tunatoa zawadi ya Tsh 10000 hadi 50000,NUNUA jarida hili kila wiki,ili licha ya mafunzo muhimu,utajiongezea nafasi ya ushindi.
Sio hivyo Tu,ukibofya sehemu ikiyoandikwa makala za ofa,utaweza kufurahia,na kupakua filamu fupi kali za animation kila mwezi bure kabisa.
Bizbongo kumenoga.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Johnson tumetumia sana. Mungu atukinge sana na mengi.

malkiawafizi
Автор

Na fenye nilikua baipenda kwanza iyo harufu yake🙆‍♂️🙆‍♂️ kweli usilo lijua nikama usiku wagisa 😔😔 Hongera kutufahasha wacha ni fanye kushea kwa marafiki Bblessd🙏🙏

salomeomashibo
Автор

Sio hawa tu.wapo wengi Mungu atulinde na haya madawa ya kizungu.natamani tungeweza kutumia dawa zetu za asili kwa usahihi zaidi

sophiakimaro
Автор

Thanks na ataukiuliza na uulize hutapata jibu sahihi that's the mission of Devo but mola atatuepusha na mishale zote zilizokinyume chetu!!

joycelydiah
Автор

Campuni nyingi, ziko under powers of darkness.Arch Angel Michael protect us in the name of Almighty God.

jacklinewahome
Автор

Waaaa Niko n hiyo powder my heart doesn't like to use nimeiweka tuu am going to throw away thanks for your update

safinaamutabi
Автор

Aisee nimefahamisha watu wengi watumie mafuta ya nazi badala ya poda lkn waswahili sisi

Lululemon
Автор

Jamani, turudi edeni katika vyakula, mavazi na vipodozi lasiivyo tutaangamia.

omegakapange
Автор

Na mzoto wangu anamiezi 8 hadi leo ndio bidhaa nazotimia kuanzia sabun mafuta hadi powder

jumakasim
Автор

Waah na vile napenda kutumia powder ya Johnson

safiayusuf
Автор

Bora mimi nilipakwa mafuta ya kula, labda itokee tuu kwa kudra za Mwenyezi Mungu.

nantaembanusurupia
Автор

Tume hitumiya saaana Mungu hatunusuru

mwaminindayishimiye
Автор

Allah atustiri maana si kwa kutuuwa huku hivi wao wanapata faida gn mambuzi hawa

zamilahemed
Автор

Johson ilimkataa mwanang kbsaa yan alitokavipele vidogo vidogo nikaacha kumpaka sabuni na mafuta yeke vyote vilimuharibu

mackysuphian
Автор

Do mie niliacha kutumia zamani sana sababu n nilimpka mwanangu aliharibika ngozi ya shingo ikawa huitamani baada ya kuiacha alipowa. Kuanzia happ ikawa mwisho

rahmajaffar
Автор

Ndomana magonjwa yamebobea afrika kwetu maana kila kitu tunachokitumia kwa sasa ni chakutoka kwa wazungu hivo kuepuka magonjwa yasitushambulie zaidi sizani kama waafrika watajirudi kujitambuwa kuwa vitu vya wazungu vyaendelea kutuumiza na kututeketeza

rizikivincent
Автор

Sasa chanjo tulio chanja vipi make ni ya njosoni

kinemorwangisho
Автор

Asante Mungu sijatumia mana kipindi hicho nilikua sina uwezo

juliejulie
Автор

swali je vp kuhusu na mafuta wanayouza

officialndaluj
Автор

Si hata chanjo ndo tuloletewa ya JJ au ni tofauti ile eeh Mungu tunusuru waja wako.

stellah