LIL NAS mwanamuziki SH0GA anaeuza VIATU VYA SHETANI ,vina DAMU YA BINADAMU ndani yake.

preview_player
Показать описание

Lipia Tsh 1000 Tu mtandao wowote isipokua t pesa,utapata nafasi ya kusoma papo hapo Kwa simu yako.

Kumbuka tunatoa zawadi ya Tsh 10000 hadi 50000,NUNUA jarida hili kila wiki,ili licha ya mafunzo muhimu,utajiongezea nafasi ya ushindi.
Sio hivyo Tu,ukibofya sehemu ikiyoandikwa makala za ofa,utaweza kufurahia,na kupakua filamu fupi kali za animation kila mwezi bure kabisa.
Bizbongo kumenoga.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hizi ndizo nyakati za mwisho Kama YESU alivyosema ktk neno lake. Watu wanapaswa kutambua kitu kimoja kwamba Kuna KUZIMU na MBINGINI . Na watu wanapokufa wenye dhambi hutupwa motoni ( KUZIMU) na watakatifu hukaribishwa MBINGINI KWA BABA. Hivyo basi wewe ambae uko hai chagua kwenda mbingini kwa kutubu dhambi zako na kuziacha kabisa na kumpokea YESU KRISTO moyoni mwako ili aje akukaribishe kwake. Lakini Kama utachagua dhambi sehemu yako itakuwa ktk ziwa la Moto. Soma ( UFUNUO 21:8 )

lydiajoseph
Автор

From Uganda 🇺🇬to Tanzania 🇹🇿Justin Shed 🔥🔥🔥

epmzmusifiwar
Автор

Kila mtu anataka kuwa na maisha mazuri ila kuwa shoga huu ni ushetani ulio kithiri na vitabu vya dini vimesema kuhusu ushoga, hii ni laana eeh mungu tunusuru waja wako.🙏🙏

directoreaglerongc
Автор

Brother nashukuru kwa Habari zako tufumbue macho

felixkato
Автор

Subuhanallah. Mtihani ilaakifa ndiyo atajuaajui

hanifatanzania
Автор

Amemkana Mungu, na haamin ktk mungu, basi atakutana na moto wake wa milele

Glady
Автор

Namba 1 Leo gonga like 🙌🙌 kama unamkubali bongo fasta

allyfaraji
Автор

Mimi naitwa justin shedi sasa twende kazi usikose ku gonga like ni bure tuu mtazamaji

davidnba
Автор

Mimi n Albert Einstein Sasa twende kazi

salumsalum
Автор

Hi justin me ni photography nata utupe simulizi ya mtu wakwanza kugundua camera please

arnoldthegreat
Автор

HELLO BONGO FASTA I LIKE YOUR HISTORY CAN YOU PLEASE TELL THE HISTORY OF THE DHL AND MT EVEN REST

jacobmutisyamboya
Автор

Hii dunia mambo ya azidi kuwa magumu kuna siku tutaamka haipo 😳 😳😳😳😳

lucyjeremia
Автор

Kwa mungu kuzito huko
Sijui ataenda kusema nini

omaryamani
Автор

Luka 10:18
Akawaambia nilimuona Shetani akianguka toka mbinguni kama umeme.

zenassylvester
Автор

Uyu kaka namjubali atariiii yuko vizur kwenye kaz yake

godfreykarata
Автор

Luke 10:18 Jesus answered "I saw Satan falling Like lightening from heaven "

clasclass
Автор

Sijawahi kusurport mziki wake..kwa sababu ni shoga na ushoga sio mchongo

angeldejoice
Автор

Huko tunakokwenda Kunatisha kwani itakua ndoto watu kutenda mema kabisa machoni kama watu Ay

robartifabiani
Автор

Jamani Mimi ndio Jamal April sasa twende kazi 😝😝

edwinelias
Автор

Luka 10:18 inasemaje. Mbona hujatueleza mr justin shed??

sebastiansappy