DIAMOND ALIVYOMPANDISHA JUKWAANI MTOTO WAKE, AMPA MAIKI AWASALIMIE KIGAMBONI

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mm hupenda NJ sanaa kalinifanya nikatamani kuzaa nayo Allahmdhulilah niko ma second born after ten years❤❤

yasminoluoch
Автор

Nisiwe mnafki watt wote n wake na anawapenda ila huyu wa tanasha kanapendwa zaid❤

PaulinaSemindu-obde
Автор

Naseeb kichwa, kaona kitu kwa huyu Naseeb 🇹🇿

abelmbilinyi
Автор

Yani mama wa huyu mtoto huko alipo roho yake nyeupe akimuona manae na baba ake wako bam to bam

RechaelEasily
Автор

Ni sawa ila uoe kijana ili uzidi kuwa na familiya bora

roudhamahmoud
Автор

ni hatareee sana kupanda na Mtoto jukwaani mshabiki aweza ponda chupa nk ni mtazamo wangu tu

goldprocessplant
Автор

Hizo ndo nyimbo tunotaka kijana rudi ktk mziki wako huo usipige makefile sana nizaka kraudi walivoimba tandale hadi unaskiyq raha moyoni🎉🎉🎉🎉

roudhamahmoud
Автор

Sasa hii ndio wimbo tunataka kusikia, sio honey mara chapati, zenye hazi make sense kabisaa.

jayjuliet
Автор

Sindo wakasema eti Mondi hajuwi kuimba live 😅😅😅😅

simbaedouardo
Автор

Mi kwakwel nisiwe mnafiki hvi huyo samii kitu gan kikubwa kakifanya

faidhacute
Автор

Diamond, I think your look alike son has no love for music as you do.
Huyu ni kama atakua doktari, professor, engineer au president.
Atie bidi kwa ABCD 😂😂😂😂

getup
Автор

huyo mtoto anakaa kua msomi Hadi PhD lakini mambo ya mziki sidhani ....he is intelligent and very smart

kenya-idgt
Автор

Am inlove with bongo nadai msichana waki bongo am from kenya

davisohtv
Автор

HAWA NDO WATANZANIA WA KUPEWA ELIMU YA KATIBA KWELIII? HAPO HAKUNA HATA MMOJA. WOTE NI WAKUBURUZWA TUU. NANI MWELEWAJI HAPO?

valenakomba
Автор

Ujawai kutuhangisha simba yote ayo ulijuwa yatatokea mwamba Kama nabii vile ila Piga moyo konde yote Tisa

asukulubashilwango