EXCLUSIVE: ABDALLAH ANAYEDAIWA KUTAKA KUMUUA BABA YAKE AONGEA, NI BABA ALIYEVUNJA NYUMBA 2 MAKUSUDI

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nyei watoto mmh kuzaa c kupata ni kweli watoto wa siku izi mtihani

faudhiasalum
Автор

Mzee ndiye Ana akili kukushinda wewe. Mwanaume kazi nenda katafute chako, MWACHE mzee .

maswamills
Автор

HAKIKA MALI, WATOTO NI FITNA, MSIMNYANYASE MZEE, NANYI KUNA SIKU MTAKUWA WAZEE!!
FAMILIA IKAE PAMOJA KUTENGENEZA!!

hamzakimaro
Автор

*hapo kwa haraka haraka tafuteni nanyie za kwenu acheni ujogoooo safi sana mzee*

shadrackjuliuskaboya
Автор

🤣😂😂😂😜😜😜Mzeee mjanja Huyo mnazani mtamuibia kitu

زيتونتنزانيا
Автор

unakuaje kiongozi Wakati mwenyewe yupo?

yahyahamad
Автор

Mzee Idi nakuomba nenda mahakamani, ili mahakama iweze kukusaidia kuondoa huyo kijana. Wanasheria mjitokeze kumsaidia baba yenu.

nathaliamayo
Автор

Unaeza kuta ni kweli huyu kijana kuna kaukweli! Pelekeni Ule wakala unaitwa Rita usimamie hii! Mzee noma unaeza kuta huyo Jasmine anataka kujimilikisha ajue hatabaki salama

magejuliani
Автор

Yaani baba kawatafuta wapi hawa wabomoaji khaaa wako fasta walikua kikazi kwakweli duh wanajua

tinluwna
Автор

Mnahitaji maombi dear, Familia zina migogoro Mungu awasaidie.Babu ungekaa na watoto wako wote muamue.Wezakuta kaka ni mkweli na wezakuta babu ni mkweli.All in all ni familia moja kaeni muelewane.

agnestemba
Автор

Nikweli unataka uzurumu baba afuunaonyesha nikaka wahovyo mnoo

amushemustafa
Автор

Anayo haki kana kijana ..sio kwa sababu ni mali ya mzee basi ndio iachwe tuu na kupotea kisa tuu si mali yake..kingine kwenye ndugu wengine huwa na tamaa tuu huwenda nikweli kashawishiwa ba mmoja wa vijana wake mzee auze nyumba yule binti atapata chake cha juu..mfano kazungumza shamba lenye thamani ya milioni 21 limeuzwa kwa milioni 7 hapo ukifatilia ni mgogori baina ya ndugu. Ndio yote huwa hivyo...lakini hata kwa mujibu wa imani hasa sisi waislam ukiwa na mali huna mamlaka ya kuuza vyote ispokuwa lazima iwepo mirathi. Hiyo kawaida kabisa.

abdallahhuseinkabale
Автор

Tafuta mali zako, hata Mzee akitaka kuzaa ale pesa yake, ww hazikuhusu

macharosandra
Автор

Nayule mzee aliyeongea vipi...anagushi maneno?

keffajacob
Автор

Jasmine na mumewe ni wajanjawajanja wanataka kula wapema fedha za mzee, pia na huyo jamaa pia mjanjamjanja pia anatakakula kodi za hapo pahala pekee yake sasa hapo kuna mziki mkubwa mwisho watauwana hao watoto wa huyo mzee

Mpakauseme
Автор

Mmi naamini kuna watto wengi pia na hao waitwe maana kwenye interview ya awali na hii kuna kitu amekosea inamaana amesahau jana aliongea nni😅😅😅🚶‍♀️🚶‍♀️ na mzee akikukana je utapogana vipi🤣🤣 kabla kwenda mbele anza mazungumzo na mzee usije ukaaibika mbele

mdzainb
Автор

Mie naona huyu kijana yuko sawa kulinda mali za mzee wake ni sawa.mbona wahindi hukaa ma wazazi wao bila kelele.huyu kijana anajitambua kbs kuna uonevu mkubwa hapa

angelanaftael
Автор

😂😂😂 yaani Abdallah bhana ! Mzee wako ameshakupiga chini, wewe unasema utapambana Hadi haki ipatikane. Ila vijana tujifunze kutafuta vya kwetu, cha mzazi km kitakuja kiwe ni nyongeza tu.

RehemaJustine-cokp
Автор

Urisi nikitu kibaa kabis duuh apo akuna wakuani

zenabaziga
Автор

Huyu babu kafanana na yule babu wa arusha, alikuwa kalazwa watoto wake wakawa wanamuombea afe, baba andika urithi.Baba akawaambia hela nyingi nipo kwa tranka, nilixifukia wakati najenga hii nyumba, mtabomoa mtoe tranka, Baba, alifariki baada ya mcba kaka mkubwa ndo akatoa million 3 nyumba ikavunjwa, Wakalikuta tranka likiwa na mauchafu tofauti na yale mamilioni.

yukundapeter