KWAO HAKUNA NABII, YEYE NI NANI AWE KAMA WEWE?

preview_player
Показать описание
KWAO HAKUNA NABII, YEYE NI NANI AWE KAMA WEWE?

Ulishawahi kujiuliza kuwa kwenye ukoo wenu kuna sheria gani zinazotawala ukoo? ni vitu gani wanavyozuia visitokee?

Moja kati ya hatari kubwa ambayo inawakuta wengi ni pale ambapo sheria ya ukoo wao hairuhusu aina fulani ya watu kutokea, wakati huo wao wanapambana kuhakikisha wanafanikiwa na kuwa watu wenye thamani kwenye familia zao.

Shuhudia jinsi ambavyo wamekuwa wakimdhibiti mwanadada huyu ili asiwe nabii kwa sababu tu kwao hakuna nabii.

Wewe ambaye wanakudhibiti ili usiwe wewe, naamuru nguvu ya madhabahu kuharibu hayo magereza yao na sheria zao.

Nakutangazia kuwa huru kuanzia leo kwa jina la YESU.
_____________________
Ili uwe wa kwanza kupokea taarifa zetu pindi tunapochapisha tafadhali (Like, Follow, Share, Comment na Subscribe) kwenye chaneli yetu ya Eden TV Online.
________________________
Kwa mawasiliano na jinsi ya kufika kanisani, tupigie kupitia namba +255743758507.
Mungu akubariki.
@everyone
@TopFans
Рекомендации по теме
visit shbcf.ru