Hatua Nne za Kutoka Kwenye Madeni

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Umenisaidia Sana na nilikuwa na sehemu 11 za marejesho napunguza zimebaki 6 Mungu anisaidie nimechoka Sana

umojadaycare
Автор

Daah nashukuru sana nimejifunza vitu ambavyo vinaweza mtoa mtu kwenye madeni ambavyo nipamoja nakutafuta kitu kinachoweza kukuongezea kipato nakupunguza matumizi, ,,asante sana kaka Joel natamani nipate nafasi yakuongea nawewe ninauhakika utanisaidia kubadilisha maisha yangu nakuwa kati ya watu waliofanikiwa

neemaphilberth
Автор

Hili darasa ni dira tosha kwa kweli, stay blessed brother, umenipa nguvu mpya

keshenimoshi
Автор

Nashukuru sana kaka kwa mafundisho yako

neemalino
Автор

Nice indeed brother nilianza kukufuatilia YouTube kama masiala tu but now am Learning something from you be blessed Brother Joel Nanauka kupitia Mafundisho yako kila siku napata Akili Mpya.

barakaMuyengi
Автор

Asante kwa kunisaidia, nimetafuta na diary kabisa nikaanza kuandika.
Naomba unisaidie kama una group uniunge, nahitaji kutoka nilipo nikue zaidi.

neemamajura
Автор

Kazi nzuri kaka Joel Huo mtihani huwa na jitahidi sana hakuna kitu naogopa kama deni na wakati wowote huwa naomba mungu anisaidie nisiwai fikiria kitu kama hio

sheillahchisika
Автор

bro nadhani upo sawa kabisa nakuelewa vizur xana

rizikimoshi
Автор

Asante sana na Mungu akubariki.
Kutengeneza kipato cha ziada ninadhani ndiyo njia bora zaidi ya, si kukusaidia tu kutoka kwenye madeni bali kutoingia kwenye madeni bila sababu ya msingi

AzariEliakim
Автор

Leo tu nilikuwa nafikiria namna ntkavyolipa na kujitoa katika nadeni. Somo hili limekuja wakati muafaka kabisa. Nashukuru sana kwa lecture hii.

davidmbilinyi
Автор

hii mada n nzuri maden yamekua mengi san tunashukuru kwa somo zuri ila changamoto za maisha ndio zinapelekea kufika hatua hii ya kuwa na madeni mengi

joycemasawe
Автор

Asaantheeee my dear brother Sana. naendelea kujifunza zaidi na zaidi kuishi debt free hatua ya kwanza na ya pili

anthonykimaro
Автор

najifunza mengi Sana, ubarikiwe Sana kwa kuelimisha jamii, madeni yanaludisha nyuma Sana, 🙏🙏🙏 i see me at the Top

isayampogole
Автор

Tafuta nani na shilingi ngapi unadaiwa, angalia madhara ya deni ili kujua namna ya kulipa ikiwemo riba, mahusiano, acha kukopa - kwa kupanga bajeti yako, rekebisha maisha kwa kupunguza matumizi, kipato cha ziada, uza baadhi ya kujitoa kwenye was take home message.
1.Kuwa mkweli na kuonana na mtu anaekudai ni mhimu sana. Kuna rafiki yangu nilimpa 2M two years back...na akawa ameshindwa kunilipa lakini aliendelea na mawasiliano, this year ndo ananilipa still a friend sometimes sharing means for him to get money and pay me back. Nice work bro

towardlearningsuccess
Автор

Shukran nimeongeza ujuzi zaidi Allah akuongoze daima somo zuri madeni si mazuri yanakufanya usiwe na amani ya maisha

maryamkhatau
Автор

familia nyingi zimaingia kwenye madeni kufahamu , unakuta baba was familia anakopa bila kumfahamisha mke wake na siyo mkopo mmoja ni zaiidi ya mmoja mke wake anakuja kugundua pale NYUMBA inapigwa mnada . .Amina baba jirekebishe mnatuletea ugonjwa wa moyo.

severinakigura
Автор

Ahsante brother, nitajitahidi kutoka kwenye madeni na kuanzishwa shughuli za ziada za kuniongezea kipato

SalmaAlly-ms
Автор

Huwa nakuelewa sana brother Joel ahsante kwako mola akulipe kila kheri pia akupe Maisha marefu ili tuzid kujifunza kutoka kwako
Kingine naomba kuongea nawe kuna vitu vya kibinafs

swabriissa
Автор

Ubarikiwe kaka sana najifunza mengi kupitia channel yako

cindymacho
Автор

Asante sana kwa somo!!nina udhaifu wa kumface anayenidai yn hili ni tatizo kwangu!!!nkiwaza kuongea nae najikuta nmeahirisha tu but kwa kweli madhara yake yamenikomesha coz unaonekana km mwiz hivyo mtu anakutafuta mdaiwa kwa hasira za kutosha🙆
Swali tu, NN FAIDA YA MADENI MWILINI?
AU NN HASARA YA KUISHI BILA DENI LOLOTE!

lilykessy
welcome to shbcf.ru