Siri za AJABU za 'SECRET SERVICE'walinzi wa RAISI wa Marekani.

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nice unasimulia vizuri sanab. Ulete simulizi za Rais Wa China na Cuba

mwakisukuli
Автор

Upo vzr sna mzee baba nakukubali sna hukurupuki maelezo yote yametimia big up 👊👊

mursalseleman
Автор

Mlinzi ni Mungu pekee zingine ni mbwembwe tu za kidunia mwisho wa siku kila nafsi lazima ionje umauti

agustinilyakurwa
Автор

Upo vzur kaka, big up sana mengine zaidi

simonmwabukusi
Автор

Wapooo vzr nmependa San apo Justin Shed anaposema sasa twende

juliusmangombela
Автор

Walkati Ujao Please Andaa makala Kuhusu Yai La Bundi Mr. Shedy

worldchickendsm
Автор

Daaa jamaa Hawa uwa nawakubali Sana wanaleta habari nzuri sana

fredchaki
Автор

Nataman Sana Kuwa secretary service Nita jiunga vp Ila elimu yangu Ni ya darasa la Saba Ila Nina kipaji cha ufundi wa CCTV camera installation

kelvinrichard
Автор

Ila kwa miandiko ya bongo sijui kama watagundua aisee😀😀

thierybien
Автор

Nimeipenda sana video hii, naomba kuunganishwa nayo. Niko Mza Tz.

raymondonyona.
Автор

Chanel makini sana, sio davista mata alianza na simulizi nzuri baadae kaishia kuwahoji wachawi ameboa kinoma

taifocuscompany
Автор

Kaka umetisha, imenipa picha ya Security kwa wenzetu.Tupe na ya hapa kwetu if posible.

davidntwale
Автор

Apo kwenye wino Sasa, maana huku kwetu kila peni ipo, Sasa sijui vip

hawaynatimam
Автор

Je Kama ikatokea laisi akajisaidia kwenye Choo atarishi ninikinatokea

josephlaurian
Автор

Leo wa sita hapa namimi jaman so mbaka niseme

edwardgistave
Автор

Mimi naitwa noely mwakyoma haya sasa twende kazi😁da huyu jamaa msimulizi anajua mbaka anaboa🔥👍

noelsamwel
Автор

Napenda sana bongo fasta...
Justin shedi

irjackjackson
Автор

Napendekeza.... kwann isiundwe group ya watsp af utengenezwe utaratibu mzur ili tuwe tunapata story za kueleweka na km kuna ka changizo kiac kwa ada ya mwezi

jacksonbohbahck
Автор

Wajeuku Somalia tuone uwezowao.waje nailo gar lisilopenya risas tuone kam itapenya au.

hemedmasoud
Автор

Mimi sijawahi sifia mtu Ila broo unajua kutangaza sauti yako inavutia kwenye usikilizaji yaani unatamani story isiishe dah big up endelea ivo ivo usijebadilisha.. iko poa.

shadutavy