TARZAN 《13》

preview_player
Показать описание
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / boncena rutaman
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfacebook;boncena_tz
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kipepeo alimubaka gumbwa kwa bahati baya katoto kamenasa tumboni 😂😂😂😂hii kali baba mubakaji mama mubakaji😂😂😂any way nko hapa Kenya 🇰🇪 mie

محمدالقحطاني-ظطص
Автор

Jaman leo nimewahi mwenzenu nimesubiria sana awamu hii umechelewesha kazi tarzan wanakubariana na mm waweke likes hapo chin🎉🎉

samwelmagodi
Автор

Km umetoka kuangalia dada wakaz na kijn tajiri nasaiv upo huku kwa Tarzan gonga like❤❤

himnakhatib
Автор

Iyo pati ya mimba ingechezwa na umi juu yuko nayo kweli 😂😂😂😂

sitybby
Автор

Mimba ya ummy nayo imekomaa sana ata unakaribia kujifungua huyu sasa ❤❤❤❤❤ congratulations in advance DA UMMY

AplA-xb
Автор

Shot fixe moving luta man.... Nakubal kaziako

MNIZZYThafatima
Автор

Nashauri muwe mnaanzia mlipoishia, kazi ni nzuri mnooo❤❤❤

deniscosma
Автор

Waooo Jaman tumefurahi kwamwenderezo ila nampenda Sana mima inanywele nzuri Sana

MartinNiyukuri-nt
Автор

Gumbwa akibaka anatoa mimba na akibakwa anatoa mimba 😂😂😂hii ni GG wanangu

mustafampande
Автор

Mm wa 112 ikiwa kwenye dk ya 4 like kwangu kazi nzuri TEAM STRONG 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

AishaJafari-shpe
Автор

Gumbwa kama senge😂😂😂😂😂ati nilikua mlevi zingewezaje kutembea mpaka tumboni😂😂😂😂😂

Naima-vx
Автор

😂😂😂 mganga wewe unavyo mwangalia huyo mdada jamani achananeni na mwakinego please 👐 anyway show Iko lit 🔥 nmeipenda

CarolyneNyanchama-ykgf
Автор

Leo nmekua wa kwanza kutoka kenya🇰🇪 nipeen likes

reymarks___
Автор

Nyumbu anaendeleya kunyumbuka😂😂😂 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

AltermoïseKalunga
Автор

Mimi wa mwisho Leo naomba like zangu from Mozambique 🇲🇿

FranquinaGeraldosoda
Автор

❤❤😢ila mganga baisa unaroho mbaya unaiandama sana familia ya mwakinego jamani 😢

reginaIssa-mj
Автор

Mganga kamq.mwehu sasa macho ndio yanasikia 😅chefuuuu

RajabuHayyan
Автор

Alafu umi unamimba au mimi ndoninaona vibaya mwenzangu😂😂😂ila kama ni mimba hongera sana😊😊😊😊😊❤

محمدالقحطاني-ظطص
Автор

Jmn mnachelewa sana duh, alafu ummy anamimba kwel kwel kbs 😅 tulioona tumbo la ummy gonga like hapa

PeterMadale-tz
Автор

yasinta ana pigo za mtoto wa chief😊😊😊, angekua mtoto wa chief ingenoga zaidi nafikir

sarikokiagape