TARZAN 《14》

preview_player
Показать описание
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / boncena rutaman
INSTARGRAM; / . .
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfacebook;boncena_tz
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mmezidisha sana story sehemu moja, fupishen mnaharibu movie

gracemtaki
Автор

Leo mimi ni wakwanza naziomba like zote kwani siku nyingi sijapata hizi ila mganga wewe hufai kabisa umeshindwa kufanya kazi zako unamsingizia mtu ambaye hahusiki na uchawi

RashidKidume-we
Автор

Dah! Nakupenda sana tarzan unavyo msaidia mwakinego kijana asiekuwa na hatia yoyote

mwanahamisimanglepa
Автор

Boncena unajua mpk unajua tenah like kma unamkubalii rutaman😁😘🌹🌹

FatmaSeif-oc
Автор

Waoh, mara yangu ya kwnza apa nipeni ata kama ni kumi pekee aki nawapenda from gulf❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

HMm-bj
Автор

Tarzan ni moto wa kuote mbali naomba msitucheleweshee jamani tuendelee na uhindo Team boncena ni 🔥🔥🔥💯

KatotooKavishe-bwtq
Автор

Team Rutaman leo mm ni wakwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪

masterpeter
Автор

Kipabde cha nyumbu mmekiweka kirefu anakaz yakucheza na migomba .mwakinego shukuru mtetez wako kijana wa porin sijui unaukoo nae❤

mariammariam
Автор

Mm ndio wakwanza Leo mpemba mwenye bahat naomb like

deeprince
Автор

😂😂😂😂tarzan amerud mkomboz wa wanyonge mganga baisa ii inayofuata tunapoteana❤❤❤❤🎉

rajabkiti
Автор

Alafu ummy amenenepa jaman au ndo mimba iyoo hongera lakn

AntoniamartaLuis
Автор

Nimerud Tena jama naomben no ya nyumbu mganga Yuko bize, , , Ila mmetisha ❤❤❤

gideonodoyo-wkcw
Автор

Jamani tunao mhurumia happy gonga like hapa tujuane

VeronicaIbrahim-wvdg
Автор

Hivi kira mtu tukiwa tunaomba like unadhani hawa wanaoigiza tutawapa molari kweli maana Kila mtu naomba like tubadilikeni jamani kama nawewe umechoshwa na kira mtu kuomba like gonga like hapa😂😂

JumanneZengo
Автор

Iko Sawa lkn hua mnachelewesha 😢😢😢 BT KAZI nzuri 😂😂 hongereni

AntonyDaniel-prvc
Автор

😀😀😀😀 kimemkuta mganga fimbo zinauma ee.. Kaz nzuri tm boncena

richardelieza
Автор

Eishy director kwa nyombo mambo sio mazuri 😂😂😂ameongelesha mgomba Hadi akajisahau jamani ila kipepeo wewe gumbwa hatakupenda ng'o😂 mganga kimekufikia😂😂😂wah love you guys

CarolyneNyanchama-ykgf
Автор

😊😊😊😊😊😊imenonga walai apo mwisho mnganga utajuta kuzingizia mwakinengo .na uchawi niwakwako jinga sana wewe 😊😊😊😊😊😊fanyrzi araka isichelewe please

finegatwiri
Автор

Mganga baishaa😂😂 tamaa yako itakuponza😂😂🎉❤

BothainaBothaina-kc
Автор

Kwanini lakini mnamnyanyasa mwakinego hiviii

babynaash