MAKUBWA !!! RAIS MAMA SAMIA AMKABIDHI BABAKE MZAZI GARI LA MIL 300 !!!

preview_player
Показать описание
#Exclusive #OriginaleastMedia #Tanzaniapolitics
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Huyu mama atasababisha watu wachukie chama cha CCM kwa sababu ya uongozi wake 😭😭😭😭😭😭😭

tatuhongeranurushaus
Автор

Mimi pia sijapenda kabisa kumpa hiyo gari haina mashiko

KADALAtv
Автор

Ata mm nilishaangaa kwann utoe gari huyo kwa mzee...uyu mama ameanza kuzngua

MyLife-tgop
Автор

Saivii jamani.Yani watu tunawaza mtaji wa elfu ishirim hatuna .Kila kitu kinamwishoo wake.Mzee alikuwa anamali sana gari ilikuwa hatakiw tena chaa

pendotemba
Автор

@new_kondegirl was here, watching all your videos 🤗❤

meedahasger
Автор

Yule mzee alipewa gari kama Rais mstaafu wote tunalijua hilo

mshanaakbar
Автор

Hongera mama kwa moyo wa upendo kwa wazazi wako

ibrahimisrael
Автор

Loo, nihatarisana kama ni kweli waandishi muwe, munongea habari za kaeli ili wananchi tuwe na maamuzi ya kweli wakati ukifika

JafariNahimba
Автор

Tunaongozwa nafamilia moja Tanganyika na Zanzibar, Sikulijua hilo tumekwisha.

AlanMbilinyi
Автор

Jamani, uchaguzi hauko mbali, zinduka✌️

elizabethmruma
Автор

Sasa kama alipambana na wazungu na wakakatisha uhai wake kwanini aingie vita asiyoweza

mshanaakbar
Автор

Samia na Mzee mwinyi hawana uhusiano wowote kabisa kununu gari 300 haina shida kwani mshahara wake 15m

luzigakapande
Автор

Kuma sana uyo mama samia namwakauu Kaz anayo

gabizotravela
Автор

Basi mwinyi ana uzazi mungu kambarikia. Acha mzee mwinyi afaidi uzazi wake. Kumbe ndo Samia Hasani. Kwahy familia imebalikiwa msione wivu. Zawadi inawahusu Nini.

twaliathandrea
Автор

Acheni chuki zakikanda nyny mama Samia kampa Ali Hassan mwnyi gar la milioni 300 mbona Huyo malaika wenu asie doa Magufuli alimpa kikwete nyumba yskisasa nzur na yathamani tu nahakuna Alie msema vibaya??? CHKI ZAKIKANDA NDIZO ZINAZO WASUMBUWA

mwigaadam
Автор

Uongoz wake huu anaujua yeyetu na familia Yao!!

mwalukojohnjohn
Автор

RAIS SAMIA ANAMATUMIZI MABAYA YA PESA ZAPESA ZA UMMA ANASTAHILI KUSHTAKIWA KWA KUMUNUNULIA GARI LA BL.300 KUMUNUNULIA BABA YAKE MWINYI.

AlanMbilinyi
Автор

Mbona magufuli amemjengea nyumba kikwete

neemapatrick
Автор

Haina tatizo kutoa zawadi ya bei mbaya kwa rais mstaafu hata angekua na miaka 100 na kadha ni heshima kubwa sana watasema mengi na bado kuna mzee wetu JK nae apewe kwa heshima
Sasa zawadi hii angetoa mwanawe Hussein mgesemaje kama pesa zake binafsi kwani hana kwani pesa hizo zimetoka serikalini

AbdulrahmanDola
Автор

Muacheni mama Kama zilikua azina dawa Ni tokea enzi za magu uyu si wa juzi tu

ruu