MUME WA RAIS SAMIA ASHINDWA JIZUIA UKUMBINI, KWA FURAHA AMKUMBATIA UKUMBINI

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

WANGAPI KAMA MIMI WAMEMUONA BABA YETU JAMANI. GONGA LIKES KAMA 200 HAPA. 🙏🙏🙏🙏

charlesmillinga
Автор

Kwani lazima mumpigie kura wakati tunajuwa kuwa Mtu akiwa Rais wa jamuhuri ya muungano huwa ndo mwenyekini Taifa hamuoni apo mna wadanganya watu nakupoteza elatu

alikidungura
Автор

Mama Samia Suluhu Hassan oyee mitano Tena Mama

naishiyemollel
Автор

Mama raisi wetu uendelee hadi miaka 30

mariadaison
Автор

Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena

danielgeorge
Автор

Simamieni katiba ya nchi na siyo kuikanyaga

nelsonnyamle
Автор

Mzee mbona hujambusu mama yetu afurahi zaidi....

alloycejames
Автор

Pia tunaomba sajira kwa waliosoma siziangalie itikadi za vyama maana tumeanza kuona hayo.Ukiwa ccm ajira zipo ukiwa chadema ajira hakuna serikali.Mbona nyie watoto wenu wakihitimu elimu zao ajira hawakosi kama watoto wa maskini?au wenu wanasoma iliwaje kuwatawala watanzania ndiyo madarsja ya elimu ysmetofautiana?

nelsonnyamle
Автор

Jembe letu hatuna shaka naye tunatembea kifua mbele daima

PowerMwakambonja
Автор

mnajichaguwa wenyewe ngojeni 2025 lazma kiwake

khadhiriramadhan
Автор

Wakina Mangoma wapo kila sehemu kula moja et Apana duh

ZainabuHassani-feur
Автор

Hongereni kwa uongozi wa busara na amani

alloycejames
Автор

Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena

danielgeorge
Автор

Aliyompigia mama kura ya hapana ni nan jaman mama mitano tena

danielgeorge
Автор

Mjisifie tu ila ukweli wa kumwogopa Muumba wetu ccm mmeiharibu taifa kabisa ufisadi, unyanyasaji wa kidemokrasia na kutokubali kulinda maliasili zetu mnauza nakubinafsisha bila kujali kizazi kijacho watamiliki nini

Deoathanasmbongo
Автор

Wataelewa tyu Chuma Juu ya Chuma
2025 Kapita Tayari Wanaweweseka Wapinzani Sisi tunavuka na Mama Yetyu Mh Rais Samia Sulhu Hassan
KIGOMA Kura Zote zako

magomakabanja