RAPCHA FT DAMIAN SOUL - DHAHABU (Visualizer)

preview_player
Показать описание

Visuarlizer shot & Edited by :

Performed by : Rapcha & Damian Soul


Lyrics written by : Rapcha (Cosmas Paul Mfoy) & Damian Innocent Mihayo (Damian Soul)

Composed & Produced by :
Gachi B (Justin John Mhagachi)

Join Our Family:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nilipata ajali nikalazwa hospital mke akanikataa... Bili ya hospital ikaja marafiki na ndugu wakanikataa... Ikabidi niwafate watu nilio wakopesha pesa zangu nao wakanikataa... Nikarudi na magongo yangu nimeka mkono shavuni nikaona dunia na maisha nayo yamenikataa... Mama yangu akapambana akauza kiwanja na kulipa bili ya hospital hakunikataa... Nawasamee wote 7x70 walio nikataa... Mwisho wa yote namshukuru mungu hajanikataa... Ngoma na beat kali sana mwanangu inanitia hasira natamani nipige ngumi ukuta Rapcha inahitaji remix ndiyo ring tone yangu hii 2025_2099 ngoma ya taifa.❤❤❤🎉🎉🎉 #HIP_HOP_4_LIFE.

augustkessy
Автор

0% DRUGS
0% NUDITY
100% vibes, beautiful lyrics

amedeuspatrick
Автор

Rapcha hajawai kufeli kabisa...kama wamkubali gonga like apo

SuleimanMasudi
Автор

Rapcha mkali sio lunya au mnasemaje wa wakuu

Yonzomc
Автор

Mmmh nilikuwa naona clip kumbe hiki ni kichupa cha kuweka favorite 🎉

sirmarekani
Автор

Kid, you will go places. Damian yo genius man

vitusmfumya
Автор

Jua lina ibuka linazama juu natazama najua haya maisha Mungu tu ndo hajanikataa❤❤❤

tinPeter
Автор

Kunawana nimewambia rapcha katoa Ngoma kali wamekataa ila ikonoma imebamba adi kitaa

yasrikomba
Автор

Rapcha toa lisa 3 ile bonge ya story bado story inaendelea ile

ViperDeer
Автор

verse ya mwishoooo 🙌🙌 inaongeaaaa sanaaaa
nimeamua kujipenda mimi kwanza kwa kufanya hivyo siumizwii na yeyote anayenikataa
Dunia inazidi kuzunguka natusua nagundua nahitaji kuwasamehe walionikataa

robertmalale
Автор

Tunapata zile ladha tulikuwa tunazihitaji kwa muda mrefu shukrani wanangu wa HIP HOP TZ

RashidRamadhani-bo
Автор

Rapcha mmoja tu apa Tanzania au mnakataa

minhokid
Автор

Ngoma kali sana hii asee....takataka sasa leo imetakata

abiaslaurian
Автор

Kama Umeelew chorus ya Damian sol weka likes mchizi kaua sana 🔥🙌

HonestBway
Автор

Kazi nzuri sana Mdogo wangu, shukrani sana!

denyo_rasmi
Автор

Nilipokua ndo nilipokuja kujua kumbe mshua hakuzingua...

officialmadoshi
Автор

Umeua wananangu99 mwendo wa A A umenikumbusha kala Jeremiah

Kizze
Автор

Hii ni national anthem endelea kupromote huu nimbo mkubwa @Rapcha

pauldesolver
Автор

Rapcha Noma sana umepita kwenye angles ambazo wana wengi wanapitia. Taka taka leo imetakata

NillanBusalu
Автор

Majilan kuluusu tu nicheze na watoto wao walikataa😢

emmanuelmagesa
welcome to shbcf.ru