Baba ni nani katika Familia?

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante sana kwa somo nzuri mwalimu ❤❤❤❤❤

rosemarry
Автор

Napenda sana mafundisho yako mchungaji ubarikiwe 🙏🙏

baslidahmutola
Автор

Mama Urio nashukuru, wewe na mama rose shaboka nawaenzi sana, ingawaje sijaingia katika ndoa, Mungu anijaalie .lwish Kenya kungekuwa na wachungaji wakutuambia bila kuficha chochote.mama Urio nakupenda.mungu akuzidishie .

dorinahkhabosa
Автор

mama hili somo nishapitia ni nzuri sana, na pia mama ang nilikuomba no🙏

mamalaozphilemon.
Автор

Mama shalom mimi Ni mwanafunzi wa chuo kikuu Cha kairuki mwaka wa 5 nafatilia Sana mafundishi yakoo Kama hutojalii naomba unisaidiee no. Yako tunaevent ya VIJANA tarehe 14/05 natamani sanaa uwepo tupate mafundishi yako kwenye maswala ya mahusiano Ila jinsi yakukupata sijuii nafanyajee

Mc_daktari