Utekelezaji wa amri ya kutongia au kutoka kaunti tano waanza

preview_player
Показать описание
Utekelezaji wa amri ya kutongia au kutoka kaunti tano waanza
Polisi wameeka vizuizi kufunga mipaka ya kaunti hizo
Wengi waliotaka kurejea nyumbani wakosa usafiri
Baadhi ya wasafiri walalamikia kuongezwa kwa nauli
Wahudumu wa magari ya umma wanahofia biashara kuathirika
Watu 884 wameambukizwa COVID-19 leo kutokana na vipimo 5377
Watu 13 wamefariki katika kipindi cha saa ishirini na tatu
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Just when majority of kenyans were picking up the government that doesn't like it's people shut them again to poverty. Kenya needs an overhaul

AdanMohammedAdan
Автор

Aki kenya hawajali na life yao hawana mask mpka sasa aki

annnjoroge
Автор

This will now diminish kenyans and porverty will increase where climinal rates will raise due to lack of jobs

Kimani_njoroge