Asilimia sabini ya wakenya hawana pa kwenda haja

preview_player
Показать описание
Asilimia sabini ya wakenya hawana pa kwenda haja
Watu hao wanalazimika kutumia maeneo mbadala kwenda msalani
Hali hiyo inahatarisha afya ya wananchi kutokana na uchafu wa mazingira
Magonjwa yanayotokana na uchafu yameripotiwa katika kauti zisizo na vyoo
Рекомендации по теме