EE BWANA UNIFADHILI MIMI - NYIMBO ZA KWARESMA

preview_player
Показать описание
Maneno ya wimbo
Ee Bwana unifadhili, Maana nakulilia (Bwana), Maana nakulilia Bwana (Bwana) nakulilia wewe mchana kutwa x2:

Mashairi:

1. Kwa maana wewe Bwana umekuwa tayari umekuwa tayari kusamehe.

2. Na mwingi wa fadhili kwa watu wako wote watu wako wanaokuita.
{Ee Bwana unifadhili, maana nakulilia wewe mchana kutwa
Kwa maana wewe Bwana u mwema, umekuwa tayari kusamehe
Na mwingi wa fadhili kwa watu wote wakuitaao } * 2
Siku ya mateso yangu nitakuita
Kwa maana utaniitikia
Ee Bwana unifundishe njia zako
Nitakwenda katika kweli yako
Рекомендации по теме
welcome to shbcf.ru