filmov
tv
EE BWANA UNIFADHILI MIMI - NYIMBO ZA KWARESMA

Показать описание
Maneno ya wimbo
Ee Bwana unifadhili, Maana nakulilia (Bwana), Maana nakulilia Bwana (Bwana) nakulilia wewe mchana kutwa x2:
Mashairi:
1. Kwa maana wewe Bwana umekuwa tayari umekuwa tayari kusamehe.
2. Na mwingi wa fadhili kwa watu wako wote watu wako wanaokuita.
{Ee Bwana unifadhili, maana nakulilia wewe mchana kutwa
Kwa maana wewe Bwana u mwema, umekuwa tayari kusamehe
Na mwingi wa fadhili kwa watu wote wakuitaao } * 2
Siku ya mateso yangu nitakuita
Kwa maana utaniitikia
Ee Bwana unifundishe njia zako
Nitakwenda katika kweli yako
Ee Bwana unifadhili, Maana nakulilia (Bwana), Maana nakulilia Bwana (Bwana) nakulilia wewe mchana kutwa x2:
Mashairi:
1. Kwa maana wewe Bwana umekuwa tayari umekuwa tayari kusamehe.
2. Na mwingi wa fadhili kwa watu wako wote watu wako wanaokuita.
{Ee Bwana unifadhili, maana nakulilia wewe mchana kutwa
Kwa maana wewe Bwana u mwema, umekuwa tayari kusamehe
Na mwingi wa fadhili kwa watu wote wakuitaao } * 2
Siku ya mateso yangu nitakuita
Kwa maana utaniitikia
Ee Bwana unifundishe njia zako
Nitakwenda katika kweli yako