'WEWE NI MMOJA MLIOTENGENEZA URASIMU, WATU WANAKIMBIA, MLIMTISHA' SAMIA AMUAGIZA MWAMBE

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Duuu tumerudi kuleeee... Tumeuzwa ipo siku wa tz tutaelewa

saidasimba
Автор

Hawa wanaitwa wawekezaji, wanahitaji kuangaliwa kwa umakini mkubwa. Wengi wao hawana nia njema na mara nyingi wamefilisi nchi zetu. Maoni yangu tu.

simonmagaigwa
Автор

Mama tuangalie na sisi wafanyakazi sekta binafsi kodi tunakatwa kubwa sana kwenye mishahara yetu

piustino
Автор

Asante my President, sio wawekezaji tu hata sisi watanzania tunateseka, nilituma mzigo kupitia DHL yaani walinisumbua sana TRA pale airport. Kila nikilipa naambiwa bado niongeze tena pesa. Yaani ni shida sana, bora uambiwe tu kodi ni kiasi fulani ulipie basi.

joasitz
Автор

Mama awe makin na hao anaowaita wawekezaj, ndo waliosababisha mambo ya Richmond, epa, simbion, lugumi, escro na hujuma nyingine, hao ndo wameihujum sana tz kwnye madini, wanyama na sehem nyingine, hata hivyo jpm hakukataa uwekezaj bali alikataa wawekezaj wanaoihujum tz, hapo naomba tuelewane kabisa

ladislausngoyinde
Автор

Haya maneno yako ni mazuri lakini Kama unatoka kwenye mstari.watz wengi waliumizwa na wawekezaji JPM akawanyoosha.sasa naona kama tunarudi kulekule Sawa wacha tuombe Mungu atie wepesi lakini Mimi naona Kama tunaanza kuyumba.nitamkumbuka Sana JPM kwa alivyotutetea wanyonge

emmanueljohn
Автор

Background ya picture na quality ya video ni nzuri au mama etu nae na bodyguard ake wazuri ila hata upande wa audience quality yake nzuri.

barakachawe
Автор

Mama hata wanafiki watakushangiliavuhari mwisho wakugeuke

emanuelmlowe
Автор

Asante bwana Yesu kwa zawdi hii uliotupa Rais wetu mama yetu umetufuta machozi kupitia Rais Magufuli aliyetutoka lkn bado haukutuacha bwana Yesu ukatupa Rais mwingine mchapa kazi sifa na utukufu tunakurudishia ww

nancyjonas
Автор

Mama tunaomba utoe chances kwa wanawake zaidi, Tuna matumaini na wewe ktk suala la Mwanamke na Uongozi.

leylamohamed
Автор

Mama etu uwe mkini na hao wawekezaji isje ikafkia mahara wakageuka kuwa mchzo mchafu so unjua tena ndo maana walmchukia maguful baada ya kuona wankwepa kulpa kodi usiwaone kukshangilia kua makin mama etu wsje kukugeuka mama etu mngu ibarki tanzania

josephinapastory
Автор

Madam usipangue sana duh kumbe mpaka ma rc na ma dc unataka kupangua? Angalia mzee magu hajakosea kuwaacha namuona makonda nae nafasi anayo

yahyahamad
Автор

Maman uko mpole san wata kudharahu san

housseinfallu
Автор

Hauna criteria za kuwa rais mama! Rais haombi anatoa amri.Uongozi ni Accountability mama!.

theeyechannel
Автор

Huyu mama anawapigia debe sana wawekezaji ila hajui Kama ndo wanyonyaji wakubwa na wakwepa Kodi wakubwa hawa na wanamashaliti sana. Magufuri hakuchukia wawekezaji ila alichukia mashariti yao magumu ya kuinyonya tz na watz wenyewe

nashonshimba
Автор

Ahsante Rais (mama Samia) uko viwango vya juu sana. Unanikosha kwani naona utawala wa sheria ndani yako, busara, upendo na kiasi. Lakini zaidi, , unaonyesha njia. Ambaye haelewi, au anateseka , ananuna,lazima hana nadharia ya uongozi

nikutusyamsokwa
Автор

Huyu mama huwez kumfananisha na Magufuli kabisa. She is very bright. Anajitahid kumtaja lkn madudu yote anayaonesha. Inaonekana alikuwa hasikilizwi. Mungu akujalie.

avitymendezy
Автор

mpaka mtu atoke nje ndio haje kufanya Tanzania iwejuu instead mtanzania mwenyewe ase mungu tusadia

johnkyara
Автор

Mama watazania tunakupensa natunakuombea Dua mungu akupe afya njena utuongoze miaka kumi Amina mungu akujalie amina

mohamedilibone
Автор

Mama hili ni tatizo la afrika rushwa na ufisadi hashwa hapa Kenya wawekezaji wanasumbuliwa sana

husseinkazungu