“MAKAMPUNI YANAFUNGWA SIO UONGO, WANAONDOKA UCHUMI UNASHUKA, MIFUKO MITUPU KWA WATU' - RAIS SAMIA

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mama ni mama..tunaamini utafanya mengi makubwa mama..Mungu akusaidie utuongoze vyema✊ blessed mum🙏

norbypoltv
Автор

Mama Samia sina cha kukulipa Mungu akupe umri mrefu huku tulikata tamaa kabisa wengine tuliona bora kufa umetufufua mama endelea kutusaidia sijui nikubebe mama

felisterjohn
Автор

MAMA UMENENA
MIFUKO HAINA AFYA NJEMA
MAMA

ramadhanimtetu
Автор

Love u mama tunaimani na wewe kwasisi wakulim huku kusini

thabitiajibu
Автор

Ukiona kiongozi anatetea vaccine ujue fungu limeingia, mama Raisi hatuna, mama hataki kujikana kama JPM alisema nimeyatoa maisha yangu kwa ajili ya watanzania, hilo neno wazungu na sio tu wazungu mfumo mzina wa freemasons hawakulipenda kwani kazi yao ni kuwatia watu, mama naona yupo kwenye chama familia sign zake akiwa anaongea

nyamangaking
Автор

Ulikuwa pamoja na magufuli na kusema uchumi umepanda sasa hivi unamukana tena duu kweli ukifa unakosa dhamani kwa baadhi ya watu mojawapo wewe Rais ulikuwa makamu sasa hivi unasema uchumi utashuka je tukueeweje???

jarnskorelly
Автор

Kipindi chote hicho ulikuwa wapi wkt wewe ndio ulikuwa mshauri mkuu

siwonikewiliam
Автор

Ukiwa kiongozi utarajie mambo mawili: SIFA NA LAWAMA.
La muhimu
ni kutimiza wajibu wako
na sio lazima kufanya kila alivyokuwa akifanya aliyekutangulia kwasababu na yeye ni binaadamu na ana kasoro nyingi tu. Zingatia yale yatakayonufaisha nchi yetu ya Tanzania.Kiongozi hatakiwi kucopy na kupest tu atakuwa sio kiongozi huyo ni lazima awe na maamuzi na vision na style yake ya uongozi kwa mujibu wa mazingira yaliopo na mambo yanayotokea.Nchi ina katiba sheria na chama chako kina sera vyote hivyo ni muongozo wako wa kuongoza nchi lakini pia navyo huangaliwa na kurekebishwa kwa yale yanayoonekana kuwa hayaendani na wakati au ni kikwazo kwa maendeleo au ni ukandamizaji wa haki za binaadamu na uhuru wa vyombo vya habari na mengineyo.
Mungu ibariki Tanzania.

jambo
Автор

Asante mh rais mama yet kipenz

Tunakuomba na bure aud change amboz pia n kampuni zifunguliwe ili tuweze kuendelea na ajir ss tulokuwep mtaan tafazal mama

shamisjamal
Автор

Da I love you mama you are really . God bless you.

humphreyvidonyi
Автор

Hadi mbugani mwa wanyama chimba madini tembo eti sio ishu, hivi jamani wazungu walimwambiaje mzee wetu wakati anaanza kujenga lile bwawa la nyerere?. Walisema anaharibu mazingira, he vipi madini mbugani?, Tunajenga au tunabomoa

burnmotto
Автор

Unakaribisha waizi mtaibiwa sana mkijifanya wawezekaji. Train your own

dorahy