Mo Dewji aghairi kujiuzulu uenyekiti Simba 'Kilichotokea kwenye akaunti zangu jana ni bahati mbaya'

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

SIMBA 🙏
Alhamdulilah, tunakupenda sana Brother wangu wa nguvu, Kati ya makaka ninaowapenda tz, 1 ni MO DEWJI 💕❤️😍😘🙏

saumuhassan
Автор

Kila binadamu huwaanapenda mwenzie apoteze ila mo piga moyo konde waache wanafiki baki simba tunatakasana kampani yako tunaipenda sana simba (simba) nguvu1/

adamjoseph
Автор

Stress nyingine bana unaweza kuvua nguo hadharani, na ukajiona umevaa suti dadekiii

Tiffany
Автор

Pamoja boss usiache tafadhari hata sisi tumeumizwa na matokeo ya, Jana lakini tuendelee kuisaport timu yetu simba nguvu moja

emmanueljoseph
Автор

Ilikuwa ni hasira dah alitutikisa lakin🙌🙌🙌🙌

lilianjeremia
Автор

Mmmh ushakuwa mwanasiasa....ni Bahati mbaya??

rebekamsukwa
Автор

@sky lakin mm nadhan simba wachukue taadhar kwani hili swala linaweza kujitokeza tena na kuirudisha nyuma club

watchme
Автор

Mumshuru Bashite kutia neno la sihivyo manara angeisabu mabati kutafuta usingizi

fatmasayid
Автор

Bahati mbaya Kivip? Huyu jamaa anapanic sana. Mikia itakuwa wamempigia magoti.

saidiuladi
Автор

Zilikua stress za kufungwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Huu mchezo hautaki hasira🤣🤣🤣

binthassancollection.
Автор

Huna maana sisi yanqa hatukutaki kbsa wacha tubaki GSM ww sio historia yako enyewe sio kbsa ktk uwekezaji wa mpira

allydisi
Автор

Day sasa namani yani hadi nilipoteza hamu ya kula jamani simba nguvu moja

hidayaking
Автор

Kidogo nipelekwe monchwar jna hadi sas nikikumbuka nahis kizunguzungu,

khadijakhadija
Автор

Shauri yake bhana mtu kama yeye hakupaswa kuchukua maamuzi ya haraka vile coz kila mmoja ana haki ya kupata ushindi si Simba peke yake okay ahsnte mliokwenda kumuomba atengue kauli yake

mohammedabdallah
Автор

Big upp bro Mo when you fall you rise up 👏👏👏

aminaabdallah