Singida Black Stars 1-0 Azam FC | Highlights | NBC PL 06/04/2025

preview_player
Показать описание
Super Sub, Elvis Rupia amefunga goli pekee na la ushindi wa bao 1-0 kwa Singida Black Stars dhidi ya Azam FC, mchezo wa Ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Uwanja wa Liti, Singida.

Goli kwa Azam FC ni Zuberi Foba ambaye hata hivyo kabla ya goli hili la dakika ya 75, alikuwa amefanya saves kadhaa na kuzuia hatari nyingi za Singida Black Stars....
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mnacheza na Singida black 🖤 star 🌟 huku mnaiwaza Yanga hicho ndio kimewapoteza Azam leo

abdalahmohamedi
Автор

Azam shukuru kipa kawaokoa sana save zaidi ya tano sio mchezo

Shaha-di
Автор

Hawa jamaa wanakaza sn wakikutana na Simba na Yanga ila hawana kitu KUMBAV sn😂

abdulmohd
Автор

Sasa azam mnamalengo gan had kuanza kumvizia mwamzi?😂😂

emmanuelmwamlima
Автор

NYII SINGIDA EMBU NILETEENI UYO SOWA HAPA YANGA😂

hamisathuman
Автор

simba tunavuka
LIKE HAPA KAMA WEWE MWANA SIMBA❤

adelikelivisadelikelivis
Автор

Kongore kwa lupia karibu yanga msimu ujao wewe na soah

Shaha-di
Автор

Huwaga cjui azam wanakuwaga na malengo gani😢😢😢😢

ErnestMalima
Автор

Azam wanajua WANANGU daaa I love Azam ❤

SiraRamso
Автор

Hawa wamecheza game hii Huku wakiwaza mchezo na yanga

LucyChanga-ec
Автор

Watatueleza Ile kadi nyekundu ilipatikana vp

aminasogo
Автор

Sawa wanangu black stars 🎉🎉🎉🎉maua yenu

KarokiaNdirango-ljwf
Автор

Walikuwa wanakula nyingi Leo azam wamshukuru kipa wao yupo vzuri

sophiaazizingaiwa
Автор

Singida bado kuna wengine wapo nafasi ya2 malizana nao 2

AmpeliusMaxmilian
Автор

Singapore chama la hom safi sanaaa kwa kuzilamba koni 😂😂😂Azam waajiriwe kubeba unga tuh hawana kazi 😅😅😅

MhabeshiMaluja
Автор

Azam wa ajabu kweli wakikutana na yanga na simba wanazaka

StephanoKayuni-kj
Автор

MULIMKAZIA SANA MNYAMA ILAA WENGINE MNAWAPA TY UTAMUU BURE MHMM HAYAAA

TalhaX
Автор

Wakae hivo hivo awa na sisi tarehe 10 inshallah tupate huu utamu😂

malietamaliet
Автор

Azam hawana malengo wanakula mshahara wa barehsa hakuna faida yoyote KAZI Yao kuikamia Simba na yanga na kule kimataifa hata makundi hawajawahi kuingia

RobertUrassa-ee
Автор

Sowah nae sifa zishamjaa kama likina ateba anakosa nafasi za wazi uku ungetoka na mpira Leo sisi kama wananchi tufurahi

malietamaliet
join shbcf.ru