HUYU MZIZE NOMA! ONA ALIVYODAKA PENALTI KAMA DIARRA | APIGIWA SALUTE NA BENCHI LA UFUNDI

preview_player
Показать описание
#daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Yaaani huyu Mzize ana Vipaji kama Mimi vile wakati najitafuta kwa Maana
*Anaimba
*Anacheza Ball Fresh
*Na pia anaweza kukaa Kipa yaaani ni Mimi Mtupu Salute san Bro nakukubali utafika Mbali Inshallah Bwan Warid Mzize

mustaphakhamis
Автор

Xaxa ww fan Yako n ukipa kumbe unawezea ukipa kabisaa makof kwako🙏🙏🙏

abedysteven
Автор

metacha ajiangalie tutambadilishia majukum hhh😂😂

gilbertmsaki
Автор

Mzize tunaupungufu wamakipa tanzania sasa jitaidi uchukue maujko ukimfikia diara utakua kpa namba moja TZ

ZainabuMwalie
Автор

Kwa nini mnamlinganisha na Metacha? Acheni uchonganishi, mashabiki wa aina hiyo hatuwataki Yanga. Metacha ni kipa wa Yanga apewe ushirikiano. Mzinze anafanya mazuri kwa ajili ya timu siyo kwa ajili ya kumuondoa Metacha

drvaxminja
Автор

Wamueke mizzenmast kipa haujui kuwa Ana Toangoma Masada mkubwa sana Mbele pia metacha ameachwa na yanga

BaddyF-cc
Автор

Uyu sasa ana faa kabisaa Metacha out Mzizeee Bin walid In

AwadiSaidi-lczu
Автор

Anajuwawa sanaaaa mbona kama ana mshindaa metacha manata Kwa kudaka

ErickShayoo
Автор

Ni asiwe goal keeper hiii imekaaje wadau

DianaBugondo-zywz
Автор

Nikimuonaga metacha kikosini hata kwenye benchi, naskia Nakosa Amani ya moyo 😢😢😢😢

vibetz
Автор

Mzize anaonyesha kweli alikuwa goal keeper

husseinmakame
Автор

Mzize akienda kwa madundyka anakauwa kipa namba moja

reganclarence
Автор

😂😂😂jana ukaimba leo umedaka kesho udance ama upige ngumi mwakan tukuchagulie kinachoendana na weweeee

malietamaliet
Автор

Mungu simama na Metacha hakika hapendwi na kukili makosa kote kule lakin

beatricedaud
Автор

Hiki ndio kimekuponza kimberley mechi ya jana😂

nyaganyaga
Автор

Kama uliwahi kuwa golikipa na bado uwezo wako wa kufunga upo chini hivyo basi jaribu kubadirisha nafasi yakucheza, Anza kucheza kiungo mshambuliaji au winga uwatengenezee wenzio nafasi.
Kiuhalisia mchezaji aliyewahi kuwa golia akicheza km mshambuliaji huwa anafunga sanaa kwakuwa anajua maeneo yote magumu Kwa kipa kudaka au kuokoa mpila, hivyo hupeleka mpila katika maeneo hayo na hufanikiwa kufunga

PiusRoman-bjsj
Автор

Kak unajua bwana kocha fukuza msherry mzize alinde lango sio masiala

KelvinDickson-cdtr
Автор

Karibuni wote mnaotaka muwe nahela na unasmartphone njoo type neno nifunze

SwidTaikun
Автор

Kweli kabisa fukuza huyo metqcha mzize anatosha

ridhiwanijuma
Автор

Sijajua vizuri uwezo was mzize golini lakini kwa ichi kiwango nilicho kiona kwa dk 2 izi metacha hamfikii. Fukuza metacha Amna kipa mle

privamugasha