Kushindwa kuitumia KARAMA yako ni dhambi #Prophet Suguye

preview_player
Показать описание
Ni muhimu kufahamu NGUVU na UWEZO uliopo ndani yako, KARAMA yako ina THAMANI kubwa sana Katika Maisha yako na Jamii inayokuzunguka, Hakikisha una mshirikisha MUNGU na Kujibidiisha kwa kufanya kazi kwa Bidii kwenye jambo unalolifanya.

1Timotheo 4:14 "Usiache kuitumia karama ile iliyomo ndani yako...."
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Amen Chief Prophet Suguye.
Ewe Roho MTAKATIFU nisaidie
NIWEZE kuvichochea vipawa vyangu.

josephinemmbando