NINI sijawahi KUKUAMBIA! JESHI tayari lipo NJIANI kwaajili ya MAPAMBANO!

preview_player
Показать описание
"Basi, wataliogopa jina la Bwana toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya Bwana." Isaya 59:19

Hayawi hayawi Sasa yamekua ule muda wa watu wa Moshi na maeneo yote ya Jirani kaeni tayari kupokea Baraka na Uponyaji umefika . Sehemu ni moja tu viwanja vya MAJENGO kuanzia Ijumaa hii saa 7 mchana.

#moshi_healing_crusade
#chief_prophet_suguye
#wrm_tv
#wrm_radio_appstore_playstore
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ameen najiungamanisha namaombi haya Moshi

jacksontupa
Автор

Haleluya! Mungu ameikumbuka Tanzania -- Huduma za Kitume na kinabii sasa zinaanza kuenea inchi nzima...Ahsante YESU KRISTO

ebenezer