MY DAUGHTER I ep 12 I

preview_player
Показать описание
Follow Me On Instagram

Tiktok:

Facebook:

#clamvevo #comedy
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

nawapenda sana wapendwa 🙏 naomba mnifollow kwa upendo wenu

dady-Trevor
Автор

Clam sisi wa congo tunafatilia sana kaz zako kusema kwei unajuwa aubatish.you are the best.

CarlosKimuni-rm
Автор

Leo Niko wakwanza kutokeya congo 🇨🇩🇨🇩 naombeni liké zenu jamani kama munamukubali Clam vevo

PrinceAmuri-hpkb
Автор

Nimehisubili sana toka jana, na leo nimeamuka asubui na mapema sasa ivi ndo napaka chakula cha asubui vizuri.nakukubali sana #Clam #Mozambique🎉🎉🎉

REGULO_TIGRE
Автор

Nimekuwa wakwanza leo from USA 🇺🇸 nipe like kama umemaliza mwaka Salam na Familia yako

kalebeMmangyu
Автор

Wana yangaaa woteee GUSA ACHIA TWENDE ROBO FAINAL AMIIN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

HabibaKhamisi-xotz
Автор

Move kali sana hii, sema clam unachelewa kutupaaa

liberatvalence
Автор

Leo birthday yangu, naombeni like 100 tu jaman

jurmainezaidi
Автор

iyi story nikali sijuwi unaifananisha na kazi ngani kwauzuri nambie nijuwe mana ni75% kwakazi na bongo movie🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

mpakapodah
Автор

Leo nimekuwa wa 213 😂😂😂😂 yn nimejiona nimewahi niko oman nachezea wifi ya mwarabu 😂😂

Aishamsega-tnpx
Автор

Leo wa kwanz mm bx yanga anashinda leo wale wa yanga leo tunaxhindaa

dicksonguraidi
Автор

Leo nmewah Kaz nzur Ila dakika n chache sana jmn tuongezee ata dakika 5 zaid

mwanaziararajabu
Автор

Mama ake clam kwenye hii series character ya uchawi anaipatia sana mpaka pia yule mzee na kivuli chake. Hao watu wawili wanafanya series inakua realistic kwenye scene zao

activelifehacks
Автор

From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team vevo

hamzaIlunga
Автор

Jmn manyanya una point nyingi na nzuri hakika unafundisha sana! Fanya kazi yako wa kujifunza atajifinza!

RoseJoseph-ui
Автор

Kazi nzri San naitwa Vivian nipo katika tamthilia ya kingibale tv tunaomba sapot zenu

VivianRobert-kd
Автор

Mbaya zaidy clam vevo, wewe ni mtu mkali sana napenda kazi zako

AndrefidelSomia-ob
Автор

Baba zoo kutoka dodoma tz, naombeni like zangu

BABAZOO-ek
Автор

Wa kwanza leo sijawahi kuwa wa kwanza naomba like hata kidogo

RendinaaEliabi
Автор

Kwa niaba ya 254, mchezo tunaikubali kwa ukubwa sana, big up team vevo,
To editor big up kwa kazi safi#LUCHO

celebwaPloti