Beka Flavour - Nakupenda (Official Video)

preview_player
Показать описание
Mmmhh...
Nakupa sifa zote baby, unanichanganya changanya eweh baby iih,
Kwenye sita kwa sita wee fundi baby
iih..
Unanikoroga koroga sijiwezi iih eeh,
Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aa,
Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa,
Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aah,
Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa.

Chorus
Mpezi wangu nakupenda wewe tu,
Me mwenzio bila wewe si kitu,
Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu,
Tuishi milele mpaka tuone vitukuu,
Washachelewa aah aah oweoh,
Ushawaiwa aah aah oweoh,
Washachelewa aah aah oweoh,
Ushawaiwa aah aah ooh oweoh.

Verse 2
Mmh eeh aah,
Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu,
Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku,
Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu,
Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku,
Yeye na mimi tupo sayari yetu sayari yetu,
Tumeridhiana na yetu madhaifu madhaifu.

Chorus
Mpenzi wangu nakupenda wewe tu,
Me mwenzio bila wewe si kitu,
Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu,
Tuishi milele mpaka tuone vitukuu,
Washachelewa aah aah oweoh
Ushawaiwa aah aah oweoh,
Washachelewa aah aah oweoh
Ushawaiwa aah aah oweoh.

#bekaflavour #bongoflavour #nakupenda
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Beka tunakukubali sana, love from KE🇰🇪, waTz naombeni likes zenu plz

maxwelmakokha
Автор

Baba watoto na Mama watoto ndani ya Ngoma kali🙏👍👍💪💪

robertevarist
Автор

Huu wimbo unaimbaga ila kwa uandishi huu umeuwezea....embu wekeni like za BEKA. APA.. TWENDE SAWA....📌☑️🔥

achouraachoura
Автор

Mapenzi sindo haya sasa hili ndo penzi lakweli nawaombea tu baraka zake mungu awatangulie

CatherineStanley-co
Автор

From 🇨🇩 nafurahia kumuona baby mama wako kwenye huu wimbo

AbiTech
Автор

From🇧🇮🇧🇮 napenda saaana beka tangu akia team yamoto i need like kama mnapenda comment zangu

adolpheniyukuri
Автор

Ata mimi nmewai saana kuiona. Big up. Watu wagonge likes kuonyesha maupendo. From kenya 003

kandamoja
Автор

Ingoma imepeta mwenyewe kaka noma sana iyi alafu mkeho alivyo uwasasa ninoma #from congo 🇨🇩 🇨🇩 apa

Neuvemzaliwa
Автор

Ngoma Kali Xan Hii Atimaye Tumewez Kufurahi Kaz Kubwa Hii 🎉🎉🎉

ChenchiKing
Автор

Hii Couple ya Heppy na Beka ni Kali, nyimbo pia ni fire🔥🔥🔥🔥 9

juma
Автор

Wakenya let's support this beautiful music❤.. it's 🔥🔥

ckhomes
Автор

Bonge la nyimbo, simu yangu ikiita, hii ndio ringtone... Beka Flavour chukua maua yako kutoka Kenya❤

johnndago
Автор

watanzania tumsapoti kija mwenzetu bilashaka juhudi zake mnaziona @bekaflafour your the best ona nakupenda on air

imma
Автор

Masha Allah ❤❤❤❤❤ hii nyimbo aki napenda mbaya wanitoa mawazo beka nyimbo zako napenda sana❤❤❤❤

alfanali-fz
Автор

Huu Wimbo Mzuri balaa🔥🔥🔥🔥...Beka flavor umetisha kinoma Kaka

Johndestar
Автор

Mbalamwezi kwa giza
Unanimulika mwenzako nang'aa
Kutoka Kenya🇰🇪 Nipeni likes jamenii...uandishi wa Beka uko juu tu sana

vindahvince
Автор

Safi sana Beka….Love this Song…From Zürich Switzerland 🇨🇭 ❤❤❤❤❤

nafuwswedi
Автор

Wimbo nzuri sana mwanangu.
Ila tu ulikuwa ushapoteya kitambo💪💪💪🇨🇩

MfarijiNyange
Автор

I swear without these bongo artists my would be so boring!! ❤🔥❤😍💯

zuleikhaahmed
Автор

Ila huyu vixen duuh!! mzee umejua kuchagua😂karembo sana❤🤭

savvyboykinara
join shbcf.ru