KAULI YA MWISHO YA ASKOFU DKT. SHOO BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE KKKT, AFUNGUKA YA MOYONI

preview_player
Показать описание
#UhondoTV #Uhondo
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Baba Askofu shoo umefanya kazi nzuri Na ya kutukuka Kwa kanisa, hukuyumbishwa Na ulikuwa mbele kukemea ubaya, Mungu akulinde hakika.

juhudijotham
Автор

Tunakushukuru sana baba Askofu shoo, kwa ukweli wako kila wakati huku ogopa kesema kweli na pia kukemea bila hofu, hata juzi kwenye miaka 60 ya kanisa ulisema mbele ya Rais, tumeja furaha kwa mkuu mpya, ila hofu yetu ni kama utakuepo uthubutu wa kusimamia haki bila woga ndani ya kanisa na taifa letu.Mungu akubariki sana umevipiga vita vyema.

DONALDMTOWE-ug