Hassan Kessy alivyolimwa kadi nyekundu mtanange Simba vs Yanga (29.4.2018)

preview_player
Показать описание
Beki wa kulia wa Yanga Hassan Kessy, amelimwa kadi nyekundu, baada ya kulimwa kadi za njano mbili, mtanange Simba Vs Yanga.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kessy mpira ulimshinda toka kpnd cha kwnza sijui pare yanga ttzo ni nini kuna hawa wachezj, Leo walikuwa nje ya form kbc lafaer daud, ajb, kessy lkn kocha atuna kbc

kiluwasalum
Автор

Sisi ni mashabiki lkn tumeriona ilo na tunaumia sana mambo gm ayo

kiluwasalum
Автор

nilikuwa inahaja gani kucheza rafu upande wa adui huyo alikamia mechi

athumanbilah
Автор

Alikamia atuue huyu sababu ya vijisifa vya kupita aliahidiwa na MANJI atacheza tu mpira sasa ndio huo. Acha sifa dogo mpira ndio kazi yako.

kassimbakuu
Автор

Huyu Kawa Planned, Kuua Team, Unnecessary Foul

anisetnyaki
Автор

huyu refarii alikuwa wa upande mmoja tu

pharesjumannd