Hassan Kessy ndio kiongozi, wagomea usafiri wa Simba SC, kiungo wa nkana aitaja Simba SC mara 2...

preview_player
Показать описание
__
Harakati za Bongo is an online magazine that specializes in educations stories and entertainment stories from Tanzania.

Harakati za Bongo, Aloso abbreviated as HZB was started 2011 by John Sambila,who had a passion for wrinting and photography from the time he was young.

*******************************************

Share, Support, Subscribe!!!

Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kuna wachezaji wenyewe Akili na wanajua mpira lakini kamwe hawana upuuzi kama KESSY. Nafikiri ni ushamba alionao na kufikiri kuwa huko aliko ni zaidi ya Tz, hapo anajidanganya sana.
Aache ulimbukeni kwani wapo wachezaji kama samata, msiba, Farid, Thomas na wengine wengi waliokipiga na wanakipiga timu zenye kujulikana duniani lakini wana discipline

mwikamwika
Автор

Ukishindana na SIMBA, unashindana na muwekezaji wa SIMBA.

BontamLee
Автор

Mmi huwa nashanga mashabiki wa simba mnajikuta huwa mna akili kuliko wengine dunia nzima achen ujuaji mpira ni filling huwez mlazimisha mtu apende au achukie unachokipenda au kukichukia wew this is football fans msimlazimishe kessy kuwapend simba wakti nyie hampend yye .

bahatikaluli
Автор

Mjinga tu kijana. Mwisho wa siku atapata aibu maana taifa hawatoki salama

mwikamwika
Автор

matokeo 2_2 mo anapata mshituko anakufa wazambia wanaondoka wameacha msiba ndio mpira acha asila utakufa

salummtosa