Nay Wa Mitego Feat Shamy - Mungu Yuko Wapi (Official Music Audio)

preview_player
Показать описание
FreeNation966 presents Nay Wamitego's first song in 2020
Song written by Nay wamitego.

Studio : FreeNation records
Produced by : Gachi B & Mr Lg

#naywamitego #munguyukowapi #freenation
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wimbo unatufundisha nini kumalaumu na kumng!unikia Mungu au Tumwache Mungu aitwe Mungu

agnespeter
Автор

Ney wa mitego namkubali sana huyu kiumbeeee....
From Arusha.

sadamramadhan
Автор

Alie elewa Ney anamaanisha nin tumpe like zake hapa ata kumi tu

akiliming
Автор

Kabla nyimbo haijaisha #respect bro dem dem dem

moreenbosco
Автор

Ndio mungu Yupo Ipo siku utakuja kumuona 🙏🙏 wakati wa shida ndipo wengi wanaanza kumkimbilia

Nickojunior
Автор

Ney unajua japo kuna baadhi ya mashairi yanafikilisha mno..Kongole kwa kazi mpya nzuri ina ujumbe🇹🇿

azorikilemo
Автор

Unapenda kujilipua mzee nakukubali sana Ney wamitego saluti kwako.

jjm
Автор

Hizii Bangi anazovutaa ipo sikuu tyu Huyuu Ney zitamtokeaa Puani

davidicsportstv
Автор

Mi najua hiyo bange tu si uzima na inaonyesha hana imani ya dini Yoyote duniani nami namuogezea atajuana na munguwake

shabanigass
Автор

Mwenye imani ya mungu hawezi imba wimbo huu wala kuupenda !

ramamsukuma
Автор

Mhh hii dunia sasa haisomeki watu wanakufuru ajabu, ,ney nakuambia sasa alipo mungu yup juu

abdulkareemseif
Автор

Weny shida n matatizo njo tunajua kama mungu yupo pia watenda mabaya wote bila kutubia pepo yao n dunia

guycalifat
Автор

Ney wa mitego +254 pamoja. The mrssage is lit🔥🔥🔥💯👌

mimicherop
Автор

Watu waovu na wenye roho mbaya huwa na maisha mazuri na huishi miaka mingi hapa kuliko watu waliojisalimisha kwa Mungu kwasababu dunia ndo pepo yao hivyo wanapewa kila wanachostahili ili siku ya hukumu wasije ona kama wamedhulumiwa duniani na akhera.

sameerabdallah
Автор

ivi Mungu upo unamwacha huyu mjinga anakuuliza mambo ya kipumbavu.

sigienipsey
Автор

Siku zote ukitumia materialistic things kuhukumu na kuuliza kama Mungu yupo inaonesha wazi haujui kitu chochote kuhusu imani. Waislamu huwa wanasema pepo ya asiyemuamini Mungu ipo hapa duniani maana yake ni kwamba matunda ya aliyemuamini Mungu hayako hapa. Ukiona mtu muovu anaishi maisha mazuri na anauwezo kuliko wanaomuabudu Mungu usishangae maana maisha yao ndo haya na Mungu anawapa kile wanachostahili ili siku ya kiama wasilalamike wenzao watakokuwa wanapewa yale walioahidiwa.

sameerabdallah
Автор

Mungu yupo siku utapata
Shida ndo utamuona mung

babubro
Автор

Mm Ney nmekuelewa sn tu, yan anakusudia kuwaambia watendao dhambi kuwa Mungu yupo na anawaona wacjidanganye kwakuwa wanafanikiwa ktk mmb yao ndio wakahic kuwa Mungu hayupo ama hawaoni, yan maudhui ya iyi ngoma n sw na ile last hit yke "Mungu anakuona" ngoma n 🔥na msg yke... True boy (baba yaga) huwaga hafeli👍

abdulmohd
Автор

Mungu yupo Ney umezidi kutukana ipo siku Mungu atakuonesha kuwa yupo huwezi kukufuru

joeliyamakili
Автор

Mimi kwa upande wangu mara ya kwanza nilivyookoka, niliokoka ili nifanikiwe kimaishi hasa darasani niwe wa kwanza hadi niongoze taifa au nifanikiwe zaidi kimasomo lakini cha ajubu nilishwa kufikia hayo malengo huku nikimuamini Yesu.Ila nilichokuja kujua sana baadae nilipokuwa kiimani nilizisoma habari za Yesu yakuwa siku moja aliwaambia wanafunzi pia na makutano yakuwa "MSIFURAHI KUWA PEPO ZINAWATII, BALI FURAHINI KUWA MAJINA YENU YAMEANDIKWA MBINGUNI'maana yake usifurahi ya kuwa ulikuwa una gari ukapata ndo ukaazidi kuamini kuwa ndio Mungu anakupenda zaidi au ulikuwa hauna mtoto ukapata, NO BALI FURAHI YA KUWA MAJINA YAKO YAMEANDIKWA MBINGUNI(KUURITHI UZIMA WA MILELE ILI USIENDE MOTONI) .Yesu alikasirika juu ya makutano kuwa wamemfuta ili wapate mikate na sio wasikilize neno lake.Utaandikwa mbinguni endapo tu utaacha vitendo viovu kama vile kuuwa, kuzini, kusema uongo, kulawiti, ulevi, ufisadi au kuwa mtu unae tuikana.Yesu ambae Mokozi wetu alikuwa iliawaokoe watu watoke maovuni na pia waokoke waurithi uzima wa milele na sio kuzaa kama walikuwa hawazai na sio kuwa walikuwa wanatokwa na damu kwa miaka mingi, no kwa sababu tu ya huruma ndo akafanya hivyo.SIKIA NAY WA MITEGO INA WEZEKANA YUKO SAHIHI, ila UKIPATA AU UKIKOSA, UUMWE SANA, USHINDWE ADA;MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU maana ATUMFUATI ILI TUPATE MIUJIZA JAPO KUWA ANAUWEZI WA KUFANYA MIUJIZA BALI TUNA MFUATA ILI MAJINA YETU YAANDIKWE MBINGUNI MAANA KUNA JEHANAM YA MOTO

barakamgongolwa