Nay wa mitego featuring Shamy - Mungu yuko wapi (Official Music Video)

preview_player
Показать описание
FreeNation966 present Nay wa mitego's first new song in 2020.
A song written and performed by Nay wamitego assisted with Shamy

studio FreeNation records
Produced by Gachi B and Mr Lg
Directed by Hanscana
#NayWaMItego #MunguYukoWapi #NgommaTz
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

nimemsikiliza vzuri jamaa kumbe anachomaanisha ni tofaut na media zilivouandamana huu wimbo.He nailed it

davisalphonce
Автор

Kama kweli unaamini Mungu yupo... Like hii comment bila kupesa.

blakteaful
Автор

Wote tunaomshukuru mungu kwa puumzi ya bure tujuane na tunampenda Sana mungu wetu🙏🙏🙏

ramlabaruani
Автор

Mungu yupo brother anae amin mungu yupo agonge like

ANGOMWIL
Автор

Kama unajua kua mungu yupo kama Mimi gonga like

mstafaabdul
Автор

Kama unaamin Mungu yupo na atazid kuwepo na anatupenda binadamu wote forever and ever 👍

drforbes
Автор

Emmanuel aka Nay is a skillful wordsmith and a philosopher of his own kind. He is in the likes of Bob Marley, Sam Cook, Tupak, John Lennon etc. He is a gemstone Tanzania should treasure and protect him at all cost! For you Nay keep on asking those hard and philosophical questions. God is there and I know you know HIS always there. Mola azidi kukulinda kaka mdogo.

zeelao
Автор

Kama kweli unaamin mungu yupo kama mm bac gonga like hapa kwenye hii comment👍

deborakitundu
Автор

Pamoja na mateso yote na shida zote unazopitia lakn bado unamwamini mungu yupo gonga like twende sawa

elbaricktv
Автор

Naamini yupo Mungu, Maana Makuu Amenitendea
🙏🏾🙏🏾
Wanao Mwaamini Mungu Tujuane Hapo👇🏾👇🏾

JuniorGaddafi
Автор

kama unaamini Mungu yupo gonga like hapa tuende sawa

dulahkileo
Автор

YESU NDIE ALPHA NA OMÉGA sasa nawaombea nyinyi wote muokoke Jesus ni mzima wandugu zangu...kama unajua bwana YESU ni mwema nipeni like

mpozenzichristian
Автор

Huyu mjinga amechoka kuishi, kama wamuamini Allah gonga like kibao

abasmzeebabamiminakukubals
Автор

Gonga like kama unaamini mungu anatuvumilia na uovu wetu ili siku moja tutubu

emmanuellukas
Автор

Inalillah wainailaih rajuni.
Kama unaamini MUNGU yupo gonga like

dmsangi
Автор

Daaaa ee mwenyezi Mungu hakika nakuamn bwana. Kama unamwamin Mungu gonga like

felistakalinga
Автор

Katika watu ambao wanamkufuru mungu huyu ninamba moja tanzania, iv inafika kipundi unasema hayupo na mifano unaiyona wanao amini mungu yupo like kwang

ofmdhif
Автор

Kama umekuja kuangalia hii nyimbo baada ya interview ya Mama ney gonga like tuondoke 😅😅

elizakovaga
Автор

Kabla hqmjamlaumu Nay mkamuhukumu hebu skilizeni hii nyimbo vizuri...Nay analia watu wanoteseka na kudhalilishwa na Mungu yupo hivyo nilivyomfahamu mm yeye anataka Mungu achukue action ili hayo matatizo aliyoyaeleza like kama umemfahamu nay hapa

yahyamustapha
Автор

Nay anachojaribu kuongea kina mantiki fulani, maana najua hakuna kufuru yoyote katika hilo, swali hilo hakuna asiyejiuriza kwa siri ila yeye kaliweka wazi, Mungu yupo ila inahitaji busara kubwa kutambua uwepo wake maana yeye atenda tofauti na mawazo yetu yawazavyo kabisa. Hongera Nay kwa kuwakirisha mawazo yako vizur na yaliyo mawazo ya wengi. Jesus loves you

respiciusjohn