DUH ๐Ÿ™„ MELI ILIVYOZAMA KWENYE ZIWA KIVU NCHINI CONGO๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

preview_player
ะŸะพะบะฐะทะฐั‚ัŒ ะพะฟะธัะฐะฝะธะต
๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2024 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
#wasafi #wasafitv #wasafifm
ะ ะตะบะพะผะตะฝะดะฐั†ะธะธ ะฟะพ ั‚ะตะผะต
ะšะพะผะผะตะฝั‚ะฐั€ะธะธ
ะะฒั‚ะพั€

Inalilah wainnailaih rajiun daaah poleni sana wacongo

NadhiraNa-vmhs
ะะฒั‚ะพั€

Inaumaa sanaa
Munguu awaape nguvu wafiwa wotee na waliotanguliaa mbele za haki tuwaombee khery

JoelElisante
ะะฒั‚ะพั€

๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ Nalia na watoto wadogo, nawapenda sana watoto kupita maelezo, naumia sana mtoto akipatwa na matatizo, Dah waafrica tubadirike tujari uhali wa wasafiri na sio kujaza watu kupata ela nyingi za nauli.

Naumia sana

hallin
ะะฒั‚ะพั€

Mungu wangu ๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™† tuonekanie n๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ขni wapi tulikosea

jacklineosite
ะะฒั‚ะพั€

SubhanALLAH. INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN

yasirsaid
ะะฒั‚ะพั€

Innalillah waina illahi rajiun subuhana llah Allahu Akbar allahu Akbar allahu Akbar ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

Marem-nltf
ะะฒั‚ะพั€

Mungu. Simama nasi siku zote simamia maisha yet

MarthaAlay-jj
ะะฒั‚ะพั€

Hii ni ziwa kivu. Congo na si victoria

hamisimtyegee
ะะฒั‚ะพั€

SUBHNA ALLAHU. Inna lillah waina illah rajiun ๐Ÿ˜ข

mwanasitidzengo
ะะฒั‚ะพั€

Poleni sana kwawote muliopatwa na musiba wa Meri kuzama mungu awalaze pema peponi amee

CharoCharo-bj
ะะฒั‚ะพั€

Nikikumbuka iyi Siku roho yangu inauma ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉโ™ฅ๏ธ

GRANDDJAZBABOYKINGZEKINGMoto
ะะฒั‚ะพั€

Mungu awatangulie enyi wa congo acheni vita mnasababisha maafa yasio yalazima watu wanakimbia nchizao wakijuwa wanaemda sehemu salama kumbe wanakifata kifo jamani selekali ya Kongo pambanieni amani njema mungu awapeleke mahali pema peponi kwamaana Wenda walikuwa wanataka kutubu lakini nafasi awajapata

MustaphaSelemani-hv
ะะฒั‚ะพั€

Inaumaaaa sanaaa jamaniii๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญila tujijali na tujifunzee usafir ukijaaa Bora usisafiriiii kuliko kujitakia kifooo

sitymushi
ะะฒั‚ะพั€

Mwenyezi mungu awapenguvu wote wafiwa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

AnanaAnana-rv
ะะฒั‚ะพั€

Poleni sana ndugu zetu kwa msiba mkubwa Goma๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข

iccvvxsWahise
ะะฒั‚ะพั€

Uokoaji kwenye nchi zetu ni wa ajabu saana.walishakaribia nchi kavu kabisa hakukuwa na sababu ya watu wengi namna hiyo kupoteza maisha.

sophiakimaro
ะะฒั‚ะพั€

Polen lkn pia tuwe makini usafiri ulizidiwa watu wengi mizigo mingi lazima tuwe makini

SellinaMorris-pj
ะะฒั‚ะพั€

Kitu inatembea juu ya maji mkaijaze watu kiasi icho ivi kwa nini watu Wana kosa uelewa yaani meli ni ndogo alafu imezidiwa uzito zote izo ni tamaa ya pesa bora muingize pesa kidogo lakini mujali usalama WA abiria..huu ni uzembe umefanyika ktk hii ajali

MsAisha-wo
ะะฒั‚ะพั€

Yani kama movie nafikilia wale wasio jua kuogelea inakuaje mungu wangu๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข

GoodluckYusuph-qc
ะะฒั‚ะพั€

Daaa bonge la movie ๐Ÿฟ umeweza kaka angu sema wachawi bado wapo tz uko ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

NaylanAmanda
visit shbcf.ru